zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 20,537
- 31,729
Wajumbe ndio nani? Wanachama hatumtaki Mbowe so hata akishinda hakuna atakayemtaka huko mashinaniMmemdanganya Lisu na propaganda za mitandaoni badala ya kwenda field kuongea na wajumbe, angalia mnavyotia huruma sasa mmeshapigwa kabla ya uchaguzi na ukweli mnaujuwa.
NAOMBA KUULIZA COMPOSITION YA SECRETARIETI ILIYOKATA HAYO MAJINA.Siku zote CHADEMA na vyama vingine vya upinzani, vimekuwa vikilalamikia mambo ya hovyo ya kukata majina ya wagombea wa upinzani wanaoonekana kuwa tishio dhidi ya wagombea wa CCM kwenye chaguzi mbalimbali.
Hayo yamefanyika sana hata kwenye uchaguzi wa Serikali za mitaa wa mwaka jana, na CHADEMA ikalalamika sana. Lakini jambo la ajabu ni kuwa CHADEMA hao hao waliokuwa wakilalamikia uchafu huo, chini ya katibu mkuu John Mnyika imefanya uchafu huo huo dhidi ya wagombea wa nafasi za ujumbe wa kamati kuu waliotamka wazi kuwa wanamwunga mkondo Tundu Lisu kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa. Wahanga wa uchafu huo ni dada mpambanaji ROSE MAYEMVA na PAMBALU.
Ikumbukwe kwamba wajumbe wa sekretarieti hiyo ya John Mnyika ni wale wenyeviti wa kanda walioalikwa na Mbowe nyumbani kwake, na kuelekezwa kutoa tamko kuwa wanamtaka Mbowe agombee tena nafasi ya Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa.
Kwa sasa, ni dhahiri, chini ya Mbowe, role model wa CHADEMA, ni CCM.
Mnyika anatakiwa aulizwe ana haki gani ya kuihoji CCM, Serikali ya CCM, Tume ya Uchaguzi au TAMISEMI kuhusiana na kukata majina ya wagombea kupitia vyama vya upinzani, wakati sekretarieti yake inafanya uchafu huo huo?
Mbowe na Co. ni walaghaiSiku zote CHADEMA na vyama vingine vya upinzani, vimekuwa vikilalamikia mambo ya hovyo ya kukata majina ya wagombea wa upinzani wanaoonekana kuwa tishio dhidi ya wagombea wa CCM kwenye chaguzi mbalimbali.
Hayo yamefanyika sana hata kwenye uchaguzi wa Serikali za mitaa wa mwaka jana, na CHADEMA ikalalamika sana. Lakini jambo la ajabu ni kuwa CHADEMA hao hao waliokuwa wakilalamikia uchafu huo, chini ya katibu mkuu John Mnyika imefanya uchafu huo huo dhidi ya wagombea wa nafasi za ujumbe wa kamati kuu waliotamka wazi kuwa wanamwunga mkondo Tundu Lisu kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa. Wahanga wa uchafu huo ni dada mpambanaji ROSE MAYEMVA na PAMBALU.
Ikumbukwe kwamba wajumbe wa sekretarieti hiyo ya John Mnyika ni wale wenyeviti wa kanda walioalikwa na Mbowe nyumbani kwake, na kuelekezwa kutoa tamko kuwa wanamtaka Mbowe agombee tena nafasi ya Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa.
Kwa sasa, ni dhahiri, chini ya Mbowe, role model wa CHADEMA, ni CCM.
Mnyika anatakiwa aulizwe ana haki gani ya kuihoji CCM, Serikali ya CCM, Tume ya Uchaguzi au TAMISEMI kuhusiana na kukata majina ya wagombea kupitia vyama vya upinzani, wakati sekretarieti yake inafanya uchafu huo huo?
Siku zote CHADEMA na vyama vingine vya upinzani, vimekuwa vikilalamikia mambo ya hovyo ya kukata majina ya wagombea wa upinzani wanaoonekana kuwa tishio dhidi ya wagombea wa CCM kwenye chaguzi mbalimbali.
Hayo yamefanyika sana hata kwenye uchaguzi wa Serikali za mitaa wa mwaka jana, na CHADEMA ikalalamika sana. Lakini jambo la ajabu ni kuwa CHADEMA hao hao waliokuwa wakilalamikia uchafu huo, chini ya katibu mkuu John Mnyika imefanya uchafu huo huo dhidi ya wagombea wa nafasi za ujumbe wa kamati kuu waliotamka wazi kuwa wanamwunga mkondo Tundu Lisu kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa. Wahanga wa uchafu huo ni dada mpambanaji ROSE MAYEMVA na PAMBALU.
Ikumbukwe kwamba wajumbe wa sekretarieti hiyo ya John Mnyika ni wale wenyeviti wa kanda walioalikwa na Mbowe nyumbani kwake, na kuelekezwa kutoa tamko kuwa wanamtaka Mbowe agombee tena nafasi ya Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa.
Kwa sasa, ni dhahiri, chini ya Mbowe, role model wa CHADEMA, ni CCM.
Mnyika anatakiwa aulizwe ana haki gani ya kuihoji CCM, Serikali ya CCM, Tume ya Uchaguzi au TAMISEMI kuhusiana na kukata majina ya wagombea kupitia vyama vya upinzani, wakati sekretarieti yake inafanya uchafu huo huo?
Si vyema kuleta habari ya upande mmoja. Ingekuwa busara kama ungeweka na hoja za sekretarietiSekretariat yenye watu walioteuliwa na Mbowe inafanya mambo ya ajabu ajabu kabisa.
Kama hata ndani ya kamati kuu wanaengua watu wenye misimamo isiyoyumba, maana yake ni kwamba wanataka waingie watu wa yes yes kwa mwenyekiti ambaye ni dhahiri keshanunuliwa na CCM. Hii kamati kuu haiwezi kuwa firm kwa mambo ambayo yanatishia maslahi ya CCM.
Mtu anayetukana na kutuhumu viongozi wakuu anawezaje kupitishwa agombee uongozi? Maadili na nidhamu ya chama lazima yalindwe kwa nguvu kubwa.Kazi ya vikao vya uteuzi siyo kukata majina ya watu bali ni kupitia vigezo vinavyotajwa na katiba na kuona kama vimetimizwa.
Lakini kilichofanyika hakikuwa na msingi wowote wa kukosa vigezo, ndiyo maana wameshindwa hata kutoa sababu kwa nini wamewaengua baadhi ya wagombea, zaidi ya kusema kuwa eti wagombea walikuwa wengi sana, na hivyo itachelewesha zoezi la uchaguzi kukamilika mapema. Sasa, kama una akili timamu, unaamini kuwa sababu hiyo ni ya msingi?
Lissu hawezi kushinda labda ashinde njaa.Mmemdanganya Lisu na propaganda za mitandaoni badala ya kwenda field kuongea na wajumbe, angalia mnavyotia huruma sasa mmeshapigwa kabla ya uchaguzi na ukweli mnaujuwa.
Una ushamba fulani wewe jamaa siku hizi dunia ni kijiji kimoja haijalishi uko wapi so long una access ya Internet taarifa unazo kiganjani ,nakushangaa tu unavyowatolea povu watu wanaomsapoti Lissu utaafikiri wewe ndiye Dr. Lillian Mtei, wacha upumbavu kujiona wewe unajua kila kitu. After all wewe ni mccm unawashwa nini na mambo ya Chadema? Wacha ujinga .Wewe upo kijijini, nenda kwenye ukurasa wa Askofu Kamanda Mwamakula analialia tu.
Waliopo karibu na Lisu wanaujuwa ukwe
Wameshapigwa kwa rushwa ama?Wewe upo kijijini, nenda kwenye ukurasa wa Askofu Kamanda Mwamakula analialia tu.
Waliopo karibu na Lisu wanaujuwa ukweli wameshapigwa.
SIku zote nasema CCM na CHADEMA na wapinzani wote ni kitu kimoja na wote ni waganga njaa tu. Yale. Ambayo CHADEMA wamekuwa wakiyapigia kelele ndio hayo hayo wanayoyatenda kila leoSiku zote CHADEMA na vyama vingine vya upinzani, vimekuwa vikilalamikia mambo ya hovyo ya kukata majina ya wagombea wa upinzani wanaoonekana kuwa tishio dhidi ya wagombea wa CCM kwenye chaguzi mbalimbali.
Hayo yamefanyika sana hata kwenye uchaguzi wa Serikali za mitaa wa mwaka jana, na CHADEMA ikalalamika sana. Lakini jambo la ajabu ni kuwa CHADEMA hao hao waliokuwa wakilalamikia uchafu huo, chini ya katibu mkuu John Mnyika imefanya uchafu huo huo dhidi ya wagombea wa nafasi za ujumbe wa kamati kuu waliotamka wazi kuwa wanamwunga mkondo Tundu Lisu kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa. Wahanga wa uchafu huo ni dada mpambanaji ROSE MAYEMVA na PAMBALU.
Ikumbukwe kwamba wajumbe wa sekretarieti hiyo ya John Mnyika ni wale wenyeviti wa kanda walioalikwa na Mbowe nyumbani kwake, na kuelekezwa kutoa tamko kuwa wanamtaka Mbowe agombee tena nafasi ya Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa.
Kwa sasa, ni dhahiri, chini ya Mbowe, role model wa CHADEMA, ni CCM.
Mnyika anatakiwa aulizwe ana haki gani ya kuihoji CCM, Serikali ya CCM, Tume ya Uchaguzi au TAMISEMI kuhusiana na kukata majina ya wagombea kupitia vyama vya upinzani, wakati sekretarieti yake inafanya uchafu huo huo?
Haya ndio matamanio ya kila mwanaccm.Anguko la CHADEMA linakaribia
Siku hizi wasema ukweli wanapachikwa sifa ya kutoa matusi.NAOMBA KUULIZA COMPOSITION YA SECRETARIETI ILIYOKATA HAYO MAJINA.
ILA PIA SIFA ZA KUTEULIWA NI PAMOJA NA UADILIFU NA SYO WATOA MATUSI
Hivi tunaridhika na uporaji wa rasilimali zetu ? Hatutaki chama mbadala wa kukemea ? Nyerere aliona umuhimu wa kuwa na vyama imara vya kisiasa ili kukemea wizi wa mali zetu unaofanywa na Viongozi tunaowachagua. Kudorora au kufa kwa vyama imara kama Chadema ni kuruhusu Watanganyika kuendelea kuibiwa, kuburuzwa, na kukosa maendeleo ya kweli. Lissu akienda ulaya ataishi kwa raha. Wewe utapata nini ?Lissu kilio kimeanza!
Wahi airport kuondoka mapema
TAL NI MROPOKAJI,TU.Hivi tunaridhika na uporaji wa rasilimali zetu ? Hatutaki chama mbadala wa kukemea ? Nyerere aliona umuhimu wa kuwa na vyama imara vya kisiasa ili kukemea wizi wa mali zetu unaofanywa na Viongozi tunaowachagua. Kudorora au kufa kwa vyama imara kama Chadema ni kuruhusu Watanganyika kuendelea kuibiwa, kuburuzwa, na kukosa maendeleo ya kweli. Lissu akienda ulaya ataishi kwa raha. Wewe utapata nini ?
Kwa upinzani aina CHADEMA ya FAM acha CCM itawale maishaHivi tunaridhika na uporaji wa rasilimali zetu ? Hatutaki chama mbadala wa kukemea ? Nyerere aliona umuhimu wa kuwa na vyama imara vya kisiasa ili kukemea wizi wa mali zetu unaofanywa na Viongozi tunaowachagua. Kudorora au kufa kwa vyama imara kama Chadema ni kuruhusu Watanganyika kuendelea kuibiwa, kuburuzwa, na kukosa maendeleo ya kweli. Lissu akienda ulaya ataishi kwa raha. Wewe utapata nini ?
Sioni uropokaji wake. Unakumbuka kauli za JPM zisizo na staha ? Mara sema unataka kupanuliwa wapi, mara Kaa na mavi yako na mengineyo machafu. Shida ya Lissu ni mkweli kupitiliza na Watanganyika wameridhika kuibiwa. Lissu ni Kiongozi mzuri sana. Watu wamekosa tuhuma zote chafu kwa Lissu kama uzinzi, rushwa na vyote.TAL NI MROPOKAJI,TU.
chama Cha upinzani ninmuhimu sana,ila Lissu hapana
Lissu alitakiwa awe Katibu Mkuu wa chama,ila sio uwenyekiti!!Sioni uropokaji wake. Unakumbuka kauli za JPM zisizo na staha ? Mara sema unataka kupanuliwa wapi, mara Kaa na mavi yako na mengineyo machafu. Shida ya Lissu ni mkweli kupitiliza na Watanganyika wameridhika kuibiwa. Lissu ni Kiongozi mzuri sana. Watu wamekosa tuhuma zote chafu kwa Lissu kama uzinzi, rushwa na vyote.
Kama sio huyu, ulitaka nani akatwe? Na ni wao peke yao waliokatwa? Huyu angalau anaweza kuteuliwa katika hiyo nafasi lakini wengine ndio imetoka. Alikosea kufanya kampeni katika eneo la usaili. Angeachiwa angeweza kusababisha fujo maana upande wa pili nao ungetaka kufanya kampeni.Huyu Mbowe ni wa kuondolewa kabisa anakiua hiki chama. Sasa hautaki fighter kama Rose Mayemba unataka nani aingie kamati kuu
Lisu kesho atashinda njaa hatashinda kuraLissu hawezi kushinda labda ashinde njaa.