Pre GE2025 Sekretarieti ya Mnyika yakata Majina ya Wagombea 'Wanaoonekana kuwa Kambi ya Lissu'

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
CCM waendelee kuwakata hawa wahuni, CCM kumbe wapo sawa, hawa CHADEMA kumbe ni washenzi sn wakipata dola watatunyanyasa wananchi
Leo umeongea pwent jamaaa Barikiwa sana kuna wkt tunapaswa kuwa saut ya watanzania milioni60 50 awa awajui chochote kuusu mitandao wala huuni wa vyama vya upinzani japo CCM wana aibu kidogo lkn wapinzani wanafanya aya wakiwa bado wapinzani je tukiwapa nchi!!!!
 
Hivi kweli ee. Pwent, ni mmea gani ? Huuni ni chakula gani ? Kiswahili au lugha gani ?
 
Mfamaji hakosi kutapatapa
 
Mfamaji hakosi kutapatapa
Mtu mwenye akili ndogo kama wewe huwezi kuona hoja yoyote.
Huu uhuni wa kukata majina upo ccm tu na sasa unarithishwa cdm kupitia mbowe na vibaraka vyake
 
Jifunze kuandika. Mwandiko huonyesha ukubwa au udogo wa akili
 
Mtu mwenye akili ndogo kama wewe huwezi kuona hoja yoyote.
Huu uhuni wa kukata majina upo ccm tu na sasa unarithishwa cdm kupitia mbowe na vibaraka vyake
Wasipokatwa wao wakatwe kinanani?
 
SIku zote nasema CCM na CHADEMA na wapinzani wote ni kitu kimoja na wote ni waganga njaa tu. Yale. Ambayo CHADEMA wamekuwa wakiyapigia kelele ndio hayo hayo wanayoyatenda kila leo
mboe kayaleta. Hayakuwepo. keshaiuza CHADEMA kwa adui
 
Hawa ni wajinga haswa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…