Sekta binafsi ipewe nafasi kwenye uendeshaji na uwekezaji katika miundombinu treni, ndege na mabasi ya mwendokasi

Sekta binafsi ipewe nafasi kwenye uendeshaji na uwekezaji katika miundombinu treni, ndege na mabasi ya mwendokasi

fazili

JF-Expert Member
Joined
Jun 10, 2011
Posts
16,427
Reaction score
22,418
Mheshimiwa rais,

Tayari tuna ndege, treni na mabasi ya mwendokasi. Tayari tuna miundombinu mizuri na adimu katika bara la Africa kama viwanja vya ndege, SGR na BRT.

Lakini bado huduma katika maeneo yote hayo sio nzuri. SGR tumeanza jana tu lakini dadili sio nzuri,. Sustainability. Hakuna sustainability, hakuna future.

Uzoefu unaonesha ni vigumu sana kwa Serikali yoyote hata ya Marekani kuendesha au kufanya biashara na ikafanikiwa. Kwani kuendesha biashara kunahitaji high level of micromanagement na uzalendo mkubwa.

YOU MUST FEEL LIKE YOU ARE THE OWNER OF THE BUSSINESS FOR IT TO FLOURISH!

Ndege zetu, treni zetu na mabasi yetu hayana mwenyewe. Mambo si shwari kwenye uendeshaji wa miundombinu hii. Kabla vyote hivi vilivyonunuliwa kwa fedha ya jasho la damu la Mtanzania maskini havijapotelea kusikojulikana, tafadhali Rais fanya kitu.

Sekta binafsi ipewe nafasi ifanye uendeshaji na hata uwekezaji katika miundombinu hii muhimu kabla haijaharibika na kufa. Tukifanya hayo mapema tutaokoa miundombinu yetu na fedha adimu za maskini kabla hazijapotelea kusikojulikana.

Asante.
 
Mheshimiwa rais,

Tayari tuna ndege, treni na mabasi ya mwendokasi. Tayari tuna miundombinu mizuri na adimu katika bara la Africa kama viwanja vya ndege, SGR na BRT.

Lakini bado huduma katika maeneo yote hayo sio nzuri. SGR tumeanza jana tu lakini dadili sio nzuri,. Sustainability. Hakuna sustainability, hakuna future.

Uzoefu unaonesha ni vigumu sana kwa Serikali yoyote hata ya Marekani kuendesha au kufanya biashara na ikafanikiwa. Kwani kuendesha biashara kunahitaji high level of micromanagement na uzalendo mkubwa.

YOU MUST FEEL LIKE YOU ARE THE OWNER OF THE BUSSINESS FOR IT TO FLOURISH!

Ndege zetu, treni zetu na mabasi yetu hayana mwenyewe. Mambo si shwari kwenye uendeshaji wa miundombinu hii. Kabla vyote hivi vilivyonunuliwa kwa fedha ya jasho la damu la Mtanzania maskini havijapotelea kusikojulikana, tafadhali Rais fanya kitu.

Sekta binafsi ipewe nafasi ifanye uendeshaji na hata uwekezaji katika miundombinu hii muhimu kabla haijaharibika na kufa. Tukifanya hayo mapema tutaokoa miundombinu yetu na fedha adimu za maskini kabla hazijapotelea kusikojulikana.

Asante.
Watanzania wanaoajiriwa serikalini na kwenye mashirika ya umma wana uzoefu wa miaka 57 wa kuuwa na kuzimaliza mali za umma.

Yalianza toka mwaka 967 tulipoanza kutaifisha mali za watu binafsi na kuzifanya za umma.

Tulijiwekea misingi mibovu, mpaka tuing'owe yote ndipo ufanisi wa uhakika utapatikana.

Naona mama samia kishasema namifumo ya kuwa mali ua mma inabadilishwa. Mama Samia anasema mali ya umma zinatakiwa ziwe kweli na hisa za umma na si serikali. Uwajibikaji utapatikana.
 
Serikali zinzoundwa na ccm hakuna zinachofanya kwa usahihi, hakuna
 
Mheshimiwa rais,

Tayari tuna ndege, treni na mabasi ya mwendokasi. Tayari tuna miundombinu mizuri na adimu katika bara la Africa kama viwanja vya ndege, SGR na BRT.

Lakini bado huduma katika maeneo yote hayo sio nzuri. SGR tumeanza jana tu lakini dadili sio nzuri,. Sustainability. Hakuna sustainability, hakuna future.

Uzoefu unaonesha ni vigumu sana kwa Serikali yoyote hata ya Marekani kuendesha au kufanya biashara na ikafanikiwa. Kwani kuendesha biashara kunahitaji high level of micromanagement na uzalendo mkubwa.

YOU MUST FEEL LIKE YOU ARE THE OWNER OF THE BUSSINESS FOR IT TO FLOURISH!

Ndege zetu, treni zetu na mabasi yetu hayana mwenyewe. Mambo si shwari kwenye uendeshaji wa miundombinu hii. Kabla vyote hivi vilivyonunuliwa kwa fedha ya jasho la damu la Mtanzania maskini havijapotelea kusikojulikana, tafadhali Rais fanya kitu.

Sekta binafsi ipewe nafasi ifanye uendeshaji na hata uwekezaji katika miundombinu hii muhimu kabla haijaharibika na kufa. Tukifanya hayo mapema tutaokoa miundombinu yetu na fedha adimu za maskini kabla hazijapotelea kusikojulikana.

Asante.
Ni sahihi kabisa.
Sisi hatuna tuwezalo, tunfikiria kuiba ,kufisidi na kuharibu.
Angalia Airport Zanzibar inavyo fanya vizuri sababu ya compony ya nje.

Tuwapae share ma kamouni yua nje au binafsi kutuendeshea miradi yetu hii.
lakini si wahindi
It can bedone.
 
Back
Top Bottom