Lanlady
JF-Expert Member
- Feb 27, 2019
- 1,836
- 6,303
Kuna mwalimu anaanza na ngazi ya certificate na baadae anaenda kujiendeleza kwa ngazi tofauti tofauti.
Miongoni mwa kozi anazosomea ni stashahada au shahada za utaalam tofauti, mfano ukaguzi, uongozi, IT nk.
Na wengi hujisomesha wao wenyewe kwa gharama zao.
Lakini katika mazingira ya kazi, kunakuwa na hali ya kuchukuliwa kama mwalimu wa kawaida; hata likitokea suala linalohusu taaluma, huchaguliwa mtu asiye na hiyo taaluma.
Je, umuhimu wa walimu kujiendeleza kitaaluma au kitaalam una faida gani? Naomba mnisaidie kwa maoni.
Inaumiza sana.
Walimu wanaonewa sana! Hakuna kupanda madaraja kwa wakati, hakuna allowances, posho za usimamizi ni kidogo.
Bado anaamua kujiendelzea lakini hakuna anayeonesha kuthamini elimu yao!
Inaumiza sana!
Miongoni mwa kozi anazosomea ni stashahada au shahada za utaalam tofauti, mfano ukaguzi, uongozi, IT nk.
Na wengi hujisomesha wao wenyewe kwa gharama zao.
Lakini katika mazingira ya kazi, kunakuwa na hali ya kuchukuliwa kama mwalimu wa kawaida; hata likitokea suala linalohusu taaluma, huchaguliwa mtu asiye na hiyo taaluma.
Je, umuhimu wa walimu kujiendeleza kitaaluma au kitaalam una faida gani? Naomba mnisaidie kwa maoni.
Inaumiza sana.
Walimu wanaonewa sana! Hakuna kupanda madaraja kwa wakati, hakuna allowances, posho za usimamizi ni kidogo.
Bado anaamua kujiendelzea lakini hakuna anayeonesha kuthamini elimu yao!
Inaumiza sana!