Kiukweli kabisa kama sekta ya Habari nchini ingetumika kiufasaa kama mataifa mengine yaliyoendelea katika sekta ya habari ingelisaidia taifa katika maswala mazima ya Usalama wa Taifa, mwandishi wa habari aliyekwiva ni zaidi ya Usalama wa Taifa, tuachane na hawa waandishi wa kupokea bahasha kuna waandishi wasioonekana wanaitwa Invisible Journalist , nchi kama USA, UK , Kanada , Urusi , Afrika Kusini , Rwanda , Nigeria wanawatumia sana ktk kuimarisha taarifa za kiuchunguzi , Tanzania sijui tunakosea wapi ? katika historia kubwa sana ya uvumbuzi taarifa pamoja na matukio makubwa yanafanywa na hawa Invisible Journalist na taarifa zao zinapokamailika zinatolewa ktk uwazi kwa lengo la kutoa changamoto kwa vyombo vya ulinzi na Usalama , CNN , Washton Post , The New York Time wanatumia sana IJ, Jamal Ahmad Khashoggi ni mfano mmoja wa Invisible Journalist na ametoa mchango mkubwa sana kwa Taifa la USA kabla ya kuingia katika mikono ya waasi , ni zaidi Intelligencia , kuna huyu mwingine Mganda anaitwa Shaka Ssali wa VOA .
Kwa mfano kwa Tanzania Usalama wa Taifa anatambulikaje ukiacha hawa wanaoonekana ......Uofisa Usalama wa Taifa (ushushushu) ni kitu gani? Kwa tafsiri rahisi, ushushushu ni taaluma inayohusu ukusanyaji, uchambuzi na uwasilishaji (kwa mamlaka husika) wa taarifa za kiusalama kwa njia za siri (clandestine methods).
Maeneo makuu ya kazi za Idara ya Usalama wa Taifa ni kukusanya na kuchambua habari za kiusalama zinazohusiana na ujasusi (espionage), uzandiki (subversion), uhujumu (sabotage) na ugaidi (terrorism).
Kwa mfano kwa Tanzania Usalama wa Taifa anatambulikaje ukiacha hawa wanaoonekana ......Uofisa Usalama wa Taifa (ushushushu) ni kitu gani? Kwa tafsiri rahisi, ushushushu ni taaluma inayohusu ukusanyaji, uchambuzi na uwasilishaji (kwa mamlaka husika) wa taarifa za kiusalama kwa njia za siri (clandestine methods).
Maeneo makuu ya kazi za Idara ya Usalama wa Taifa ni kukusanya na kuchambua habari za kiusalama zinazohusiana na ujasusi (espionage), uzandiki (subversion), uhujumu (sabotage) na ugaidi (terrorism).