Sekta ya nyumba imeanza kufufuka kwa kasi chini ya Rais Samia Mama wa Uchumi

Actually saizi mambo ni πŸ”₯πŸ”₯

View: https://youtu.be/7C7MRL-f8m4?si=hhzZfOjlIqyMhleS
 
ILAN RAMON haya ndio magorofa ya Arusha?
Nafikiri sisi ni waelewa tu stick kwenye findings na official stats.. takwimu za sensa 20222 ndio zinasema Arusha ina ghorofa 7000 na tanga 40000 moshi na Mwanza 2000 na dar elf30.
Mimi binafsi sijafanya utafit wala siko hapa kwa ajili kushushuana
 
Habari imekaa kichawa, hakuna data zozote za maana to back up your post, mkadanganye wajinga huku usituletee tafadhari, next time provide hard data from reliable sources
 
Habari imekaa kichawa, hakuna data zozote za maana to back up your post, mkadanganye wajinga huku usituletee tafadhari, next time provide hard data from reliable sources
Wewe ni mbumbumbu,hizi sio data? πŸ‘‡πŸ‘‡

Chuki na wivu ndio vinakusumbua.Bado hamjasema hiki ni kishindo Cha miaka 3 tuu.
 
Kwani Bandari za Dubai zinaendeshwa na nani kama siyo serikali!
Kuna mifumo ya uendeshaji wa bandari Kuna ubepari kwenye uendeshaji wa ports.

Kuna hatua moja kwenda nyingine na vipo vigezo vya nchi kuwa katika hizo hatua mbalimbali.

Port economics ni somo linajitegemea kabisa huko vyuoni.
 
Rubbish.
 
Ule mradi wa kawe ni uhuni mtupu.yaani huyu bibi wanaomsifu Kila siku sijui aliwapa Nini! Kati ya mradi wa hovyo ni huo wa kawe.ni wizi mtupu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…