Cvez
JF-Expert Member
- May 19, 2018
- 4,405
- 13,411
Janga la Corona mpaka sasa hivi limeathiri nyanja mbalimbali za uchumi. Ingawa mpaka muda huu sekta ambayo imeathiriwa zaidi na ipo ICU ni sekta ya Utalii. Nchi nyingi zimefanya lockdown, kuna kufutwa kwa safari za anga. Hivyo hoteli, migahawa, tax drivers, wakulima, wavuvi, tour companies na wale wote ambao kipato kilikua kinategemea utalii sasa hivi Mungu anawasaidia tu kwa maana hali utakua mbaya zaidi.
Kwa kampuni za utalii na hoteli sasa hivi wanakumbwa na issue ya cancellation. Na kwa issue unexpected kama hii anatakiwa afanye refund kwa wateja pia alipe mishahara kwa wafanyakazi. Kwa hoteli na kampuni kubwa za kimataifa wanaweza kujitahidi kufanya hivyo. Issue ni hizi kampuni zetu za kitanzania ambazo kulipa mishahara ya wafanyakazi kwa wakati ni mtihani, pia usimamizi mbovu wa fedha kwao ni issue. Ndio hapo utakuta director anataka akimbie mji, ana madeni ya wafanyakazi, anatakiwa afanye refund na pesa alishazitumia.
Pia nimeona kuna kampeni wamekuja nayo na slogan: "DO NOT CANCEL YOUR TRIP, POSTPONE". Yeyote aliyekuja na slogan hii Mungu amsaidie maana hajui alisemalo. Utalii sio hitaji muhimu la binadamu, kuna mahitaji mengine yatimizwe ndipo kiasi kinachobakia utalii ufanyike. Mbaya zaidi baada ya corona tutarajie global economic crisis, ambao utaambatana na mfumuko wa bei wa bidhaa muhimu. Hivyo kaa ukijua yule mgeni ni lazima afanye cancellation apate hela yake maisha yaendelee.
Jambo lingine tusitarajie kua utalii utarudi katika hali ya kawaida by June au August, hii issue mpaka ikae sawa at best ni baada ya miaka miwili. Kwa muda huo thamani ya dola na bidhaa sijui itakua kiasi gani, hivyo kama unaweza kubali cancellation sasa au uje kuifanya hiyo kazi kwa hasara.
MUHIMU: kwa kampuni za utalii sasa hivi ni muda sahihi wa kufanya marketing sio sales. Fanya digital marketing tengeneza contents nzuri kujenga brand ya kampuni yako. Katika hilo fanya promotion ya vivutio aidha iwe Serengeti, Udzungwa, Zanzibar, Mafia, Magoroto au popote pale. Cheza na human psychology show usionyeshe kua unataka pesa take sasa fanya kama unamjulisha vilivyopo Tanzania. Tengeneza brand yako muda huu, ikifika muda wa kufanya sales ushajijenga vyema. Swali, je unawatu wanaoweza kutengeneza contents nzuri? Kama huna tafuta au jifunze.
Mla Bata
Na wale waliokua wanataka kuanzisha kampuni za utalii muda ndio huu magari ya tour yatauzwa bei rahisi sana na wote mpo katika ground level huna haja ya kwenda trade fairs.
Kwa kampuni za utalii na hoteli sasa hivi wanakumbwa na issue ya cancellation. Na kwa issue unexpected kama hii anatakiwa afanye refund kwa wateja pia alipe mishahara kwa wafanyakazi. Kwa hoteli na kampuni kubwa za kimataifa wanaweza kujitahidi kufanya hivyo. Issue ni hizi kampuni zetu za kitanzania ambazo kulipa mishahara ya wafanyakazi kwa wakati ni mtihani, pia usimamizi mbovu wa fedha kwao ni issue. Ndio hapo utakuta director anataka akimbie mji, ana madeni ya wafanyakazi, anatakiwa afanye refund na pesa alishazitumia.
Pia nimeona kuna kampeni wamekuja nayo na slogan: "DO NOT CANCEL YOUR TRIP, POSTPONE". Yeyote aliyekuja na slogan hii Mungu amsaidie maana hajui alisemalo. Utalii sio hitaji muhimu la binadamu, kuna mahitaji mengine yatimizwe ndipo kiasi kinachobakia utalii ufanyike. Mbaya zaidi baada ya corona tutarajie global economic crisis, ambao utaambatana na mfumuko wa bei wa bidhaa muhimu. Hivyo kaa ukijua yule mgeni ni lazima afanye cancellation apate hela yake maisha yaendelee.
Jambo lingine tusitarajie kua utalii utarudi katika hali ya kawaida by June au August, hii issue mpaka ikae sawa at best ni baada ya miaka miwili. Kwa muda huo thamani ya dola na bidhaa sijui itakua kiasi gani, hivyo kama unaweza kubali cancellation sasa au uje kuifanya hiyo kazi kwa hasara.
MUHIMU: kwa kampuni za utalii sasa hivi ni muda sahihi wa kufanya marketing sio sales. Fanya digital marketing tengeneza contents nzuri kujenga brand ya kampuni yako. Katika hilo fanya promotion ya vivutio aidha iwe Serengeti, Udzungwa, Zanzibar, Mafia, Magoroto au popote pale. Cheza na human psychology show usionyeshe kua unataka pesa take sasa fanya kama unamjulisha vilivyopo Tanzania. Tengeneza brand yako muda huu, ikifika muda wa kufanya sales ushajijenga vyema. Swali, je unawatu wanaoweza kutengeneza contents nzuri? Kama huna tafuta au jifunze.
Mla Bata
Na wale waliokua wanataka kuanzisha kampuni za utalii muda ndio huu magari ya tour yatauzwa bei rahisi sana na wote mpo katika ground level huna haja ya kwenda trade fairs.