cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,549
Hadi ije ku recover itachukua mda na hivi serikali ni Kama haijachujua measures kwa corona watalii watakwepa kuja Tanzania kuogopa corona na hatua zilizochukuliwa, otherwise ili utalii urudi lazima chanjo ipatikane kwanza.
QNa nchi zinazoleta watalii wengi ka USA, ITaly zimekubwa na Corona vibaya zitakuwa zinaogopa Raia wake kuja Africa, Kenya wajanja na hizo hatia wanazochukua maana wanajua huko mbele Hali itakuwaje ime create hatua ili kuakinisha watalii na wawekezaji wengine.
Pole kwa wote waliokuwa wanategemea utalii na serikali pia ka chanzo Kikuu chakupatia feza za kigeni.
Hii corona ni nuksi
Sent using Jamii Forums mobile app
QNa nchi zinazoleta watalii wengi ka USA, ITaly zimekubwa na Corona vibaya zitakuwa zinaogopa Raia wake kuja Africa, Kenya wajanja na hizo hatia wanazochukua maana wanajua huko mbele Hali itakuwaje ime create hatua ili kuakinisha watalii na wawekezaji wengine.
Pole kwa wote waliokuwa wanategemea utalii na serikali pia ka chanzo Kikuu chakupatia feza za kigeni.
Hii corona ni nuksi
Sent using Jamii Forums mobile app