Sekta ya Utalii yaongoza kwa kuingiza mapato nchini

Sekta ya Utalii yaongoza kwa kuingiza mapato nchini

BimaYaAfya

Member
Joined
Nov 10, 2018
Posts
69
Reaction score
101
Sekta ya Utalii ilikuwa ni mchangiaji mkuu wa mapato ya fedha za kigeni kwa mwaka 2018 (Januari hadi Desemba 2018), Ripoti ya Benki ya Tanzania (BOT) imeelezea. Katika ripoti ya BOT ya mwezi kwa mwezi mwaka 2018 (Monthly Economic Review (MER) report), Mapato yalifikia $ 2.44 bilioni kutoka $ 2.25 bilioni zilizoingia mwaka uliopita (2017). mapato ya kusafiri (yanayoongozwa na utalii) yaliongezeka kwa sababu ya kuongezeka kwa idadi ya watalii waliofika.

Tanzania ni mahali salama kwa utalii
 
Hivi juhudi Za Lissu askari Yote zinakwama wapi?
 
Serikali madhubuti ya JPM imezaa matunda haya, sekta ya utalii kwa sasa inaheshimika na imekuwa na manufaa kwa Taifa. wabeba twiga kwenye makontena fyekelea mbaliiii.
 
hongera serikali ya awamu ya tano kwa kukusanya mapato ipasavyo, kwa mwendo huo miradi mingi ya maendeleo itatekelezwa.
 
Sekta ya Utalii ilikuwa ni mchangiaji mkuu wa mapato ya fedha za kigeni kwa mwaka 2018 (Januari hadi Desemba 2018), Ripoti ya Benki ya Tanzania (BOT) imeelezea. Katika ripoti ya BOT ya mwezi kwa mwezi mwaka 2018 (Monthly Economic Review (MER) report), Mapato yalifikia $ 2.44 bilioni kutoka $ 2.25 bilioni zilizoingia mwaka uliopita (2017). mapato ya kusafiri (yanayoongozwa na utalii) yaliongezeka kwa sababu ya kuongezeka kwa idadi ya watalii waliofika.

Tanzania ni mahali salama kwa utalii
Wewe ni BimaYaAfya ya wanyama au ya wadudu
 
Sio kweli trafic ndo wanaongoza mkuu utalii una sessions ila traffic ni daily[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sekta ya Utalii ilikuwa ni mchangiaji mkuu wa mapato ya fedha za kigeni kwa mwaka 2018 (Januari hadi Desemba 2018), Ripoti ya Benki ya Tanzania (BOT) imeelezea. Katika ripoti ya BOT ya mwezi kwa mwezi mwaka 2018 (Monthly Economic Review (MER) report), Mapato yalifikia $ 2.44 bilioni kutoka $ 2.25 bilioni zilizoingia mwaka uliopita (2017). mapato ya kusafiri (yanayoongozwa na utalii) yaliongezeka kwa sababu ya kuongezeka kwa idadi ya watalii waliofika.

Tanzania ni mahali salama kwa utalii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom