Sekunde 47 za Simba na dakika 3 za Yanga, zipi nyingi?

Sekunde 47 za Simba na dakika 3 za Yanga, zipi nyingi?

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2011
Posts
21,470
Reaction score
40,593
Kwenye mechi kati ya Mashujaa na Simba ziliongezwa dakika sita baada ya kukamilika muda wa kawaida wa dakika 90.

Ndani ya dakika 6 za mchezo Mashujaa wakawa wanapoteza muda na kusababisha Mpira kuendelea na Simba kufunga goli sekunde 47 baada ya dakika 6 zilizoongezwa. Yanga wakalalamika Sana na kusema Simba inabebwa.

Kwenye mchezo wao wa Jana na Azam, baada ya muda wa kawaida kuisha ziliongezwa dakika 7.

Lakini Mpira ulichezwa kwa dakika 10 na sekunde kadhaa. Maana yake Mpira ulichezwa zaidi ya dakika 3 na sekunde kadhaa toka dakika 7 zilizoongezwa.

Kwenye hizo dakika 3 zilizozidi sijasikia Yanga wakilalamika kuwa mchezo ulichezwa zaidi ya muda ulioongezwa, wala hizo dakika 3 hazikuwasaidia wao kusawazisha goli au Azam kuongeza goli.

Sasa kati ya sekunde 47 zilizozidi kwenye gemu ya Simba na Mashujaa, na dakika 3 na sekunde kadhaa kwenye mechi yao na Azam, zipi nyingi?

Kama zile sekunde 47 zilizozidi ndiyo ziliifanya Simba iifunge Mashujaa lile goli, kwa nini wao dakika 3 nzima hazikuwasaidia kusawazisha goli walilofungwa na Azam?
 
Mwisho wa msimu
1 yanga
2 singida
3 simba /azam
4 Azam / simba
 
Uto Wanajionaga Ndio wamiliki wa kila kinacho Husu Mpira
Yaan wao wanajiona Ndio kila kitu
Na kujiamini Kupita Kiasi.
Uto hawezi Maliza Mechi 2 bila kuwa na Uonevu au Kuvunja Kanuni .
Bado points 2
Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC
22. Ubaya ubwege SC.
23. 5imba SC.
24. Visingizio SC (Visababu)
JamiiForums-31645776.jpeg
 
Kwenye mechi kati ya Mashujaa na Simba ziliongezwa dakika sita baada ya kukamilika muda wa kawaida wa dakika 90.

Ndani ya dakika 6 za mchezo Mashujaa wakawa wanapoteza muda na kusababisha Mpira kuendelea na Simba kufunga goli sekunde 47 baada ya dakika 6 zilizoongezwa. Yanga wakalalamika Sana na kusema Simba inabebwa.

Kwenye mchezo wao wa Jana na Azam, baada ya muda wa kawaida kuisha ziliongezwa dakika 7.

Lakini Mpira ulichezwa kwa dakika 10 na sekunde kadhaa. Maana yake Mpira ulichezwa zaidi ya dakika 3 na sekunde kadhaa toka dakika 7 zilizoongezwa.

Kwenye hizo dakika 3 zilizozidi sijasikia Yanga wakilalamika kuwa mchezo ulichezwa zaidi ya muda ulioongezwa, wala hizo dakika 3 hazikuwasaidia wao kusawazisha goli au Azam kuongeza goli.

Sasa kati ya sekunde 47 zilizozidi kwenye gemu ya Simba na Mashujaa, na dakika 3 na sekunde kadhaa kwenye mechi yao na Azam, zipi nyingi?

Kama zile sekunde 47 zilizozidi ndiyo ziliifanya Simba iifunge Mashujaa lile goli, kwa nini wao dakika 3 nzima hazikuwasaidia kusawazisha goli walilofungwa na Azam?
Nyumamwiko wenye akili huko ni wawili tu waliobakia wote ni mazezeta.
 
Kwenye mechi kati ya Mashujaa na Simba ziliongezwa dakika sita baada ya kukamilika muda wa kawaida wa dakika 90.

Ndani ya dakika 6 za mchezo Mashujaa wakawa wanapoteza muda na kusababisha Mpira kuendelea na Simba kufunga goli sekunde 47 baada ya dakika 6 zilizoongezwa. Yanga wakalalamika Sana na kusema Simba inabebwa.

Kwenye mchezo wao wa Jana na Azam, baada ya muda wa kawaida kuisha ziliongezwa dakika 7.

Lakini Mpira ulichezwa kwa dakika 10 na sekunde kadhaa. Maana yake Mpira ulichezwa zaidi ya dakika 3 na sekunde kadhaa toka dakika 7 zilizoongezwa.

Kwenye hizo dakika 3 zilizozidi sijasikia Yanga wakilalamika kuwa mchezo ulichezwa zaidi ya muda ulioongezwa, wala hizo dakika 3 hazikuwasaidia wao kusawazisha goli au Azam kuongeza goli.

Sasa kati ya sekunde 47 zilizozidi kwenye gemu ya Simba na Mashujaa, na dakika 3 na sekunde kadhaa kwenye mechi yao na Azam, zipi nyingi?

Kama zile sekunde 47 zilizozidi ndiyo ziliifanya Simba iifunge Mashujaa lile goli, kwa nini wao dakika 3 nzima hazikuwasaidia kusawazisha goli walilofungwa na Azam?
Wakikujibu kapate soda. Hujui kama yanga ni mabumunda?
 
Tangu uan
Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC
22. Ubaya ubwege SC.
23. 5imba SC.
24. Visingizio SC (Visababu)View attachment 3142347
Tangu uanze kupost huu uchafu hujagundua kama wewe ni mjinga?
 
Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC
22. Ubaya ubwege SC.
23. 5imba SC.
24. Visingizio SC (Visababu)View attachment 3142347
Wajawazito fc
 
Tangu uan

Tangu uanze kupost huu uchafu hujagundua kama wewe ni mjinga?
Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC
22. Ubaya ubwege SC.
23. 5imba SC.
24. Visingizio SC (Visababu)
25. Manguruwe SC.
JamiiForums1683832807.jpeg
 
Back
Top Bottom