mbari sa menya
JF-Expert Member
- Apr 29, 2022
- 1,002
- 1,891
Atuambie ilikuwaje akamtimua Mbatia NCCR akiwa mwanachama mgeni kutoka CDM,Baada ya mwenyekiti wa Chadema mh Mbowe kusema Chama Chake hakihitaji ushurikiano au Muungano na vyama vingine vya upinzani baadhi ya viongozi wa upinzani wamemshukia kama mwewe
Mh Selasini wa Nccr mageuzi amesema 2015 Chadema kupitia UKAWA ulikuwa na mkakati wa kuviuwa vyama vingine vya upinzani na ilifanikiwa kuidhoofisha Nccr mageuzi na CUF
Selasini amesema kamwe hawatarudia makosa ya kushirikiana na Chadema katika jambo lolote
Naye KC Zitto Kabwe wa ACT Wazalendo amesema Chama Chake kinafanya Siasa za nchi nzima na siyo Siasa nyepesi za kuachiana Majimbo
Mengi utayakuta Mwananchi
Ngoma Inogile!
Hii ya kuuwa vyama vingine nae alishiriki kwani alikuwa Mbunge wa Rombo kupitia CDM
Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app