Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zile Trilioni 1.5 mbona mnazisahau?Siku Mbowe anaondoka mtasikia mengi zaidi ya haya, ubadirifu uliopo Chadema ni wa kutisha
Mule mjengoni kuna kinga ya kulopoka! Hujui hiloLijualikali alilia bungeni sababu ya ubarifu wa billion 7 za michango ya wabunge wa chadema
Unatakiwa ukae muda gani kwenye chama ulichohamia ndio uanze kuwa na uchungu?Huyu si alikua Chadema juzi tu hapo??
Tangia lini ameanza kuwa na uchungu na mali za NCCR??
Siasa zetu zinatufanya wote tuonekane wajinga aisee.
Anakula asali y as u DC Nkasi.Mule mjengoni kuna kinga ya kulopoka! Hujui hilo
na hataondoka atafia humo kwa kuogopa mambo kama hayo.huwezi kuwa mjasiriamali na ukaongoza chama.hapo uje tu ni lazima mali za chama zitakwapuliwa.Siku Mbowe anaondoka mtasikia mengi zaidi ya haya, ubadirifu uliopo Chadema ni wa kutisha
Ila uporaji wa kile "chama chenye mizizi" iliyojikita zaidi ardhini ni wa kutisha zaidiSiku Mbowe anaondoka mtasikia mengi zaidi ya haya, ubadirifu uliopo Chadema ni wa kutisha
Huyu Selasin anachokitaka atakipata very soon, Yani unakaribishwa kwenye mji wa mtu alafu unajfanya kambaleMakamu mwenyekiti wa NCCR mzee Selasini amesema aliyekuwa mwenyekiti wao Mh Mbatia ameuza shamba hekari 45 Bagamoyo, Nyumba mbili za ghorofa Bunju DSM na Nyumba moja mkoani Mara na Fedha kuzichukua yeye binafsi.
Tumekabidhi swala hili Takukuru ili kushughulikiwa kwani lilishahojiwa hata na CAG amesema Mzee Selasini.
Toa mimba ya CHADEMA itakuuaSiku Mbowe anaondoka mtasikia mengi zaidi ya haya, ubadirifu uliopo Chadema ni wa kutisha
Achana na hao UVCCM wasiojua hata tafsiri ya bendera ya Taifa...Kwani ana kinga ya kutoshtakiwa awapo uongozini?Toa huo ushahidi au acha kubumba vitu kama huna.
Lijua likali yule shoga mwenzako..Lijualikali alilia bungeni sababu ya ubarifu wa billion 7 za michango ya wabunge wa chadema
Shoga ameolewa UbelgijiLijua likali yule shoga mwenzako..
CDM ni chama kiko makini sana sio kama unavyowazia wewe mwehu!Siku Mbowe anaondoka mtasikia mengi zaidi ya haya, ubadirifu uliopo Chadema ni wa kutisha
Lijualikali ndio CAG?Lijualikali alilia bungeni sababu ya ubarifu wa billion 7 za michango ya wabunge wa chadema
30 ni kitengo, mbatia ni kitengo pia. Tofauti zao ni Mahali wanaporeport!!!!Makamu mwenyekiti wa NCCR mzee Selasini amesema aliyekuwa mwenyekiti wao Mh Mbatia ameuza shamba hekari 45 Bagamoyo, Nyumba mbili za ghorofa Bunju DSM na Nyumba moja mkoani Mara na Fedha kuzichukua yeye binafsi.
Tumekabidhi swala hili Takukuru ili kushughulikiwa kwani lilishahojiwa hata na CAG amesema Mzee Selasini.
Lijualikali alilia bungeni sababu ya ubarifu wa billion 7 za michango ya wabunge wa chadema
Da huku wanakula, sema keki kubwa, hata ukidokoa kujulikana ngumu hasa pale kila mtu akiwa biz kudonoaCcm hakuna ubadhirifu?
Siyo hoja na wala si sahihi.Kama ana makosa yatajwe leo akabiliane nayo au akanushe.Na kama ana cha kusifiwa,asifiwe leo.Kinyume na hapo mtaonekana mnataka mu-fabricate uhasidi.Bwashee haraka ya nini? Subiri basi jamaa asepe watu waanze kushusha nondo. Waseme sasa hivi, kwani hawajipendi? Sumu haionjwi kwa ulimi 🤣🤣