tatizo mnamuogopa dio maana yaani mimi ole wake anitoe wallah angejuta,imekua sikuhizi kama vile she run TZ hata humu si tulishapigwa mkwara tusimzungumzie se is a cyber bully kuwadhalilisha wenzake as if she is clean,na hivi nyiewanawake kwanini mnapenda kuchafuana kwa issue ndogondogo?yaani she think she is the only chick in TZ to have good life mbona kuna mademu wengi wako fiti na wako kimya?i hope she will be blogging mpaka siku mzungu akiingia mitini.and what she writes has nonsenses at all ni vile hana wazazi so anaona hakuna atakayemueleza chochote.na inasemekana anaataka kujiingiza kwenye siasa 2015.all the best to her but anatakiwa kusafisha nia zake from now.