Selected students (algeria scholarship)

Selected students (algeria scholarship)

vizuri jiandae kwenda kupoteza mwaka mmoja kusoma kifaransa
 
huko umepotea jembe embu tafuta humu ndani kunapost moja wenzako wa algeria wa mwaka jana waliitoa wanailalamikia heslb kuwasahau na kutowajali yaani wanakufa njaa huko na madeni sikukatishi tamaa ila kama heslb ndo wana wafadhili kabla haujaenda jipange vyema..
 
huko umepotea jembe embu tafuta humu ndani kunapost moja wenzako wa algeria wa mwaka jana waliitoa wanailalamikia heslb kuwasahau na kutowajali yaani wanakufa njaa huko na madeni sikukatishi tamaa ila kama heslb ndo wana wafadhili kabla haujaenda jipange vyema..

Sizungumzii kuhusu heslb nazungumzia elimu ya algeria nzur au sio... Basii
 
Yaani tunapeleka wanafunzi wetu kwenda kusoma Algeria?

Wow!!
 
Shameful!

Unless it's an exchange program....

Wala si exchange program. Tena wapo wanapewa scholarship na serikali ya Algeria na wapo wa bodi ya mkopo ya Tanzania

Na wanakwenda wengi kwa mkupuo
 
Wala si exchange program. Tena wapo wanapewa scholarship na serikali ya Algeria na wapo wa bodi ya mkopo ya Tanzania

Na wanakwenda wengi kwa mkupuo

Duh! Mwishowe tutaanza kupeleka wanafunzi Chad, University of N'Djamena.

Wewe umesoma huko?
 
Yaani tunapeleka wanafunzi wetu kwenda kusoma Algeria?

Wow!!

Unaongea kwa kufahamu ama kwa hisia?....Algeria imekuwa ikipokea wanafunzi toka enzi za nyerere....By the way inapokea wanafunzi kutoka karibu kila nchi afrika hata middle east tena mamia kwa mamia....
 
Sasa wewe usisikilize tahadhari yangu kama haujaenda kuwa house boy kwa hao wahindi waafrica huko algeria..lol

Ok nshakuelewa ila c suala langu. Me nliuliza elimu ya algeria nzur au mbaya cjasema kama mm naenda algeria na wala cjazungumzia masuala ya hela, sawa?
 
Back
Top Bottom