ERICKY_TZ255
Member
- Aug 27, 2024
- 49
- 42
- Thread starter
-
- #21
Appreciate mwamba unajielewaUjinga mtupu na takataka uloandika.
Tunahitaji Taifa ambalo watu watachaguliwa sio Kwa sababu ya Jinsia .
yaan suala la kutongozwa ndio changamoto unayoona ngumu Kwa waschana?.
Watoto/wadogo wetu wa Kiume, mnajua mambo wanayoyapitia ?.
Punguza lawama ili uchaguliwe Shule ya Serikali Advance ni lzm uwe na Credit zisizopungua 5 kwenye matokeo yako ya Kidato cha nne.Sio kweli kuna dogo alipata Division III ya 23 na CBG imbalance kwa daraja "C" tu alafu hajachaguliwa Advance kwasababu ni Boy au
Sijaelewa vizuri, naomba unieleweshe vizuliPunguza lawama ili uchaguliwe Shule ya Serikali Advance ni lzm uwe na Credit zisizopungua 5 kwenye matokeo yako ya Kidato cha nne.
Naomba uelewe Kuwa na C flat Kwny combination sio kigezo cha kuchaguliwa lkn iliwekwa C 3 km kigezo cha kukaa kwenye Mtihan wa Kidato cha Sita.
Lkn pia ukiwa Kidato cha Sita C zako 3 ndy zitazoamua ukae km SC au PC ukiwa na C 3 na huna F au Satisfactory kwenye Comb yako utakaa km SC nje na hapo utakaa km PC mwambie apambane km ana 5 na kakosa anaweza pata Second selection
Kufanya Mtihani wa Form 6 In General Uwaga ni Credit (C) 3 za masomo yoyote Yale.Sijaelewa vizuri, naomba unieleweshe vizuli
Na huwa second selection hazifanyiwi maombi??. ni TAMISEMI wanakuchagua wenyewe??.Kufanya Mtihani wa Form 6 In General Uwaga ni Credit (C) 3 za masomo yoyote Yale.
Lkn ufanywaji wa Mtihan wa Form 6 umegawanyika sehemu 2.
a) School Candidate (SC) huyu Mwanafunzi anatakiwa awe na PASS Grade kwenye Combination yake Mfano PGM mtu alie na Physics D , Geography C & Mathematics C km Ufaulu mdg zaidi O Level atafanya Mtihan km School Candidate haijalishi C yake ya 3 ni ya somo gani
B) Private Candidate (PC) hapa ni Mwanafunzi yoyote mwenye sifa ya kufanya Mtihani wa Form 6 (Credit 3) aliekosa nafasi km School Candidate (SC) ss hapa ndy hata km Una F kwenye Combination yako ni haina shida Mfano PGM Mtu ana Physics D , Geography C & Mathematics F Huyu atafanya Mtihan wa Kidato cha Sita vzr tu lkn atakaa km Private Candidate
Note:
PC ana kila Haki aliyonayo SC kwenye manufaa au faida baada ya kumaliza form 6 hisipokuwa Kuwa Tanzania One (TO) au Kupata Best Performance Kwa Somo husika. Kifupi PC ata apate 100 masomo yake yote sijui GS 100, Physics 100, Geography 100 & Advance Mathematics 100 hawezi kutangazwa km TO na wala hawezi kupata Certificate ya Best Student wa Somo lolote.
Mkazo kwenye Kupangiwa Kidato cha 5 Shule ya Serikali lzm uwe na 5C+ (Credit 5+) kwenye matokeo yako ya Kidato cha nne. Km ukiwa nazo na umekosa subiria second round utachaguliwa tu.
Hapo nimekuelewa vizuri sana ndugu yanguKufanya Mtihani wa Form 6 In General Uwaga ni Credit (C) 3 za masomo yoyote Yale.
Lkn ufanywaji wa Mtihan wa Form 6 umegawanyika sehemu 2.
a) School Candidate (SC) huyu Mwanafunzi anatakiwa awe na PASS Grade kwenye Combination yake Mfano PGM mtu alie na Physics D , Geography C & Mathematics C km Ufaulu mdg zaidi O Level atafanya Mtihan km School Candidate haijalishi C yake ya 3 ni ya somo gani
B) Private Candidate (PC) hapa ni Mwanafunzi yoyote mwenye sifa ya kufanya Mtihani wa Form 6 (Credit 3) aliekosa nafasi km School Candidate (SC) ss hapa ndy hata km Una F kwenye Combination yako ni haina shida Mfano PGM Mtu ana Physics D , Geography C & Mathematics F Huyu atafanya Mtihan wa Kidato cha Sita vzr tu lkn atakaa km Private Candidate
Note:
PC ana kila Haki aliyonayo SC kwenye manufaa au faida baada ya kumaliza form 6 hisipokuwa Kuwa Tanzania One (TO) au Kupata Best Performance Kwa Somo husika. Kifupi PC ata apate 100 masomo yake yote sijui GS 100, Physics 100, Geography 100 & Advance Mathematics 100 hawezi kutangazwa km TO na wala hawezi kupata Certificate ya Best Student wa Somo lolote.
Mkazo kwenye Kupangiwa Kidato cha 5 Shule ya Serikali lzm uwe na 5C+ (Credit 5+) kwenye matokeo yako ya Kidato cha nne. Km ukiwa nazo na umekosa subiria second round utachaguliwa tu.
Ndy hakuna maombi maana idadi ya waliofaulu inajulika so mwezi wa tisa tayari wanakuwa walifanya analysis ya waliokuwa selected na hawa kwenda so hizo nafasi zinajazwa na second selection na kuna idadi itaongezwa.Na huwa second selection hazifanyiwi maombi??. ni TAMISEMI wanakuchagua wenyewe??.
Ukasome sasa uzuri km utakuwa na mtu anaweza kukuguide ni vyema ukaongea nae na ukampa Mawazo yako (Ungetamani kuwa Nani au kufanya kazi katika taasisi gani) ili uangalie Njia nyepes kuanzia Advance Mpk ChuoHapo nimekuelewa vizuri sana ndugu yangu
Uko peace sana brother, kwa mkoa gani??.Ukasome sasa uzuri km utakuwa na mtu anaweza kukuguide ni vyema ukaongea nae na ukampa Mawazo yako (Ungetamani kuwa Nani au kufanya kazi katika taasisi gani) ili uangalie Njia nyepes kuanzia Advance Mpk Chuo
Lkn km Una uelewe mzr sio mbaya kupitia Guidelines Book ya Undergraduate 2024/25 Kwa Vyuo unavyopenda kusoma na course unazopenda kusoma ili ukiwa advance uje effort uweke eneo gani kupata Qualifications zako.
Ndy hakuna maombi maana idadi ya waliofaulu inajulika so mwezi wa tisa tayari wanakuwa walifanya analysis ya waliokuwa selected na hawa kwenda so hizo nafasi zinajazwa na second selection na kuna idadi itaongezwa.
Kupangiwa ndy kuwa Selected (Kuwa kwenye Selection) uwezi kutokea kwenye Second SelectionNa kama ulipangwa Chuo cha kati unaweza ukapata Second selectio ya Form Five??.
Home Mwanza kwenye harakati za kutafuta nipo MorogoroUko peace sana brother, kwa mkoa gani??.
Pamoja basii kiongoziiKupangiwa ndy kuwa Selected (Kuwa kwenye Selection) uwezi kutokea kwenye Second Selection
Hamna shidaHome Mwanza kwenye harakati za kutafuta nipo Morogoro