Nitakuwa mchoyo wa fadhila nisipomshukuru Ze duduz kwa kuweza kui2liza presha yangu kwa kuweka hiyo link ambayo na mimi jina langu limepatikana..
So this means im headin Udsm..
Destiny here i come
much respect to u ze duduz n i hop u'l find ur name in Bvm list of sua..Over
mpigamsuli una2mia jina gan nikucheki?? ze duduz kweli jembe umemkata kilimi, JF rockswadau mmekimbilia wapi?? GODWINNKO, MPIGAMSULI, LORDVILLE, FIDELIS
shukran xana kaka vp umeenda kozi gani?
oya mbona ya civil siyaoniii!
Wadau me natumia 4ne, xaxa mtanisaidiaje?
Kwa yeyote naomba anichekie raimund kyando niliomba apo ud plz!
wadau mmekimbilia wapi?? GODWINNKO, MPIGAMSULI, LORDVILLE, FIDELIS
wa kwanza ana 12.5 wa mwisho ana 6.5 cut off so either it wasn't ur day or haujafika hapo, haumo