Selection upload TCU

jamany wadau nimedownload lakini cm imeshindwa kuliopen hilo file,natumia e72 nina adobe na quickoffice lakini chakushangaza quickoffice imeshindwa kuliopen au sabab file ni kubwa sana..?
 
Tunashukuru vijana mnaweka na majina yenu halisi, huu ndo ujasiri unaotakiwa jf #via muoga wa kwenda mabwepande#
 
Ndugu ukiweka weka pdf bhana,inatupa malinjilinji kinma hii fomati.
 
Jamani,kama kuna anae weza kuyaweka haya majina ili hata sie tunaotumia simu tuweze kuyaona vizuri atusaidie kuyaweka vzr.

Kama unatumia android os phone, just open tht file with Thinkfree office app... Kila kitu kinatokea bila zengwe!!! Btw, ze duduuuuz umetisha mzazi
 
Oya mwanangu naomba basi nichekie jina hili ili nami nipunguze pressure...
Issa o. Issa
 
..u guyz r good! Siwawezi vijana.
 
Kama unatumia android os phone, just open tht file with Thinkfree office app... Kila kitu kinatokea bila zengwe!!! Btw, ze duduuuuz umetisha mzazi

pamoja xana mzazi !!
 
jamany wadau nimedownload lakini cm imeshindwa kuliopen hilo file,natumia e72 nina adobe na quickoffice lakini chakushangaza quickoffice imeshindwa kuliopen au sabab file ni kubwa sana..?

Sio kila file ni pdf hilo ni xls na default program ni microsoft excel,check nayo!
 
jamany wadau nimedownload lakini cm imeshindwa kuliopen hilo file,natumia e72 nina adobe na quickoffice lakini chakushangaza quickoffice imeshindwa kuliopen au sabab file ni kubwa sana..?

nina n73 na kitu kinasoma bila ubishi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…