Heshima yenu wakuu,naomba kujuzwa kwa anayejua kama OUT wametoa majina wanaojiunga na masomo ya 2012/2013,kama hawajatoa je wanategemea kutoa lini? nimejiunga na kozi ya degree.Thanks
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.