Selection za tcu.

Selection za tcu.

Molembe

JF-Expert Member
Joined
Dec 25, 2012
Posts
9,917
Reaction score
11,801
Naomba kujua kulingana na matokeo ya mwaka huu vijana wengi hawajafikisha cut-offs za 4.5 je unaweza kuchukuliwa kwenye chuo vyenye uhitaji huo(4.5) ukiwa na pungufu ya hizo mfano una 3.5 naomba kujua.
 
Sheria na utaratibu huwa haubadirishwi kiholela labda kama serikali inavyoamuaga kurahisisha mambo
 
Kwa hiyo mkuu kuna vyuo vitakosa wanafunzi maana wanafunzi wengi hawajafikisha 4.5.
 
we jichanganye ukaomba vyenye 4.5 wakati una 3.5 afu baadae uanze kulalamika
 
mbna kuna vyuo vinachkua 3 ,3.5,had 2.mfano taasis ya uhasib wanachkua 3.5.
 
Mkuu kwa vyuoni ni tofauti na sekondari!Sheria huwa haibadiliki kirahisi! Usitishike kuwa kuna wengi hawajafikisha point hizo basi ndiyo alama zitashuka.Kumbuka kuna watu wa equivalent qualifications wale wenye diploma na wao pia wameomba kujiunga na shahada so vyuo vitajaa tu kama kawaida. Nakushauri kwa uhakika zaidi omba vyuo ambavyo umekidhi vigezo kwa mujibu wa sheria zao. Lakini kama ni mwanafunzi wa science na ni mwanamke kuna programme ya kuwachukua wanafunzi wenye alama za chini kidogo mnafanya kozi kwa kipindi fulani then mkifaulu mnajiunga na shahada ya kwanza. Hii ipo COET UDSM na SUA pia sina uhakika sana kwa vyuo vingine.
 
mkuu usifuate uvumi wa watu kuwa eti ufaulu kwa mwaka huu ni mdogo hicho kitu hakisaidiin kwa hiyo omba tu vyu vyenye kulingana na sifa zako
 
Kwa hiyo mkuu kuna vyuo vitakosa wanafunzi maana wanafunzi wengi hawajafikisha 4.5.
hiyo moja. pia walio wengi wame base sana kwenye mikopo. safari hii tutashuhudia watoto wa wenye nacho wakienda chuo chochote na waliosalia ni Education wakiwemo wanaojaza hata ambavyo hawana sifa nazo kama ulivyo caution
 
Kwa mujibu wa TCU iliuwe na ifa za kujiunga na CHUO KIKUU ni 2.5 kwa arts na 2.0 kwa sayansi pia kuna kozi zina exception kama zile za medicine wanataka marks kubwa kidogo,lakini sasa kila chuo kina ushindani wake kwa hiyo unapochagua chuo uwe unaangalia ushindani wake,usije ukajiroga kuchagua medicine Muhimbili wakati una 3.5
 
Back
Top Bottom