Seleman Matola kuwa Tena sehemu ya benchi la ufundi la Simba ni kwamba timu ipo palepale

Seleman Matola kuwa Tena sehemu ya benchi la ufundi la Simba ni kwamba timu ipo palepale

Kwa nini ninyi utopolo inawauma sana Matola kuwepo Simba?
 
Ligi imekua ya hovyo mno.

Yanga anachukua ubingwa kila mwaka.

Timu mbovu kama Yanga ikichukua ubingwa ujue ligi imeshuka sana thamani.
 
Nimeshituka kuona seleman matola anaendelea kuwa ni sehemu ya benchi la ufundi kama kocha msaidizi. Sina mashaka na uwezo wa matola , Sina wivu naye , ila simba wangehitaji mabadiliko wangebadili kabisa huu mfumo, what so special kwa matola , makocha karibu nane wameondolewa matola akiwa ni sehemu ya benchi,kwani hakuna makocha wengine wazawa ambao wanaoijua Simba vizuri, ambao watakuwa msaada kwa kocha mpya, ukimsikiliza aliye kuwa kocha wa makipa Simba anadai even video analysit wa timu ni MUNGU mtu pale , kile ni kipimo Cha kuwa Kuna shida kwenye timu kuanzia kwenye management hadi kwa wachezaji, kilichotokea kwa kuwaondoa inonga na chama kuwa sehemu ya timu kinahitajika hata kwenye benchi la ufundi , otherwise tunadanganyana, kwa hali hii Kabla ya Christmas huyu kocha wa Simba hatakuwa sehemu ya timu
Thiiimbaaaa 5imba Guvu Moya.
 
Huyo jamaa huwa nikimuona najua Simba hatutoboi. Kama tumefanya maamuzi magumu ya kumuacha Chama, huyu Matola ni wa kazi gani. Simba sijui Kuna Viongozi gani?. Sikio la Kufa. Mnafanya usajili mzuri ila huyo mnafiki mnamuacha hapo.
Matola ni kirusi na bacteria wa team, hatakiwi kuwepo palee.
 
Matola ndy anayejuwa mambo yote ya kamati ya ufundi,,
Simba nashauri msiachane na matola..

Msisikilize kelele za watu wa NYUMA MWIKO FC.
 
Back
Top Bottom