MzaramoTz
JF-Expert Member
- Dec 13, 2017
- 1,850
- 3,041
Habari zenu wadau.
Well, naulizia chumba kwa maeneo ya karibu na Chuo cha Nelson Mandela NM-AIST naweza kupata kwa bei gani wadau...?
Ningependa kiwe ndani ya fence coz kuna uwezekano wa kuwa na gari ambayo itaweza ku-park ndani. Hata ikiwa ni chumba na sebule pia it's okay.
Naomba kujua gharama natumai mwezi ujao kuwepo huko In Shaa Allah. Shukran.
NAWASILISHA.
Well, naulizia chumba kwa maeneo ya karibu na Chuo cha Nelson Mandela NM-AIST naweza kupata kwa bei gani wadau...?
Ningependa kiwe ndani ya fence coz kuna uwezekano wa kuwa na gari ambayo itaweza ku-park ndani. Hata ikiwa ni chumba na sebule pia it's okay.
Naomba kujua gharama natumai mwezi ujao kuwepo huko In Shaa Allah. Shukran.
NAWASILISHA.