Selfie ya Diamond akiwa na kiboxer yasababisha tafrani Instagram

Selfie ya Diamond akiwa na kiboxer yasababisha tafrani Instagram

BilioneaPATIGOO

JF-Expert Member
Joined
Jun 23, 2012
Posts
12,320
Reaction score
11,327
Diamond Platnumz jumanne hii amesababisha tafrani kwenye mtandao wa Instagram baada ya kupiga stunt kama ya The Game na Kevin Hart, kwa kupost selfie akiwa amevalia kiboxer cheusi.

Kwenye picha hiyo, Diamond aliandika: Straight from the Changing room!…I think i need to go back to the gym so that i can be more flexible on m 24th Pre-XMass Parformance in Dar Es Salaam.

Licha ya kufunika kwa emoji kwenye eneo la sehemu zake za siri, selfie hiyo imesababisha hisia tofauti huku wengi wakimponda staa huyo kwa kukosa staha.

78906bcb9f8c717e3dce3b424a82a2bc.jpg
 
We don't want more chichiman.
 
Ngoja tuone kama Kariakoo watajibu na hii!!!!!
 
Hii ni picha ya kawaida hata hawa mastaa wa nje wanapiga sana hizi.
 
Sasa mbona mmepaziba mi sijaona bana
 
Back
Top Bottom