Selous ndio Mbuga Kubwa zaidi Afrika

Selous ndio Mbuga Kubwa zaidi Afrika

Lakini sasa nashangaa kwanini hatukamati nafasi za juu kwenye utalii...
 
Pia ni mbuga pekee yenye madini mengi, milima ya dhahabu, mito yenye almasi, na madini ya vito..., bila kusahau uranium.
Tanzania tuna mambo mengi sana ambayo ni Makubwa na vivutio vikubwa vya Utaalii. Mbuga ya Selous iliyoko hapa Tanzania ndio kbwa zaidi Afrika, hii peke yake inatosha kuitangaza ulimwengu mzima, Je tumefanikiwa kiasi Gani?

Vivutio Tanzania: The Largest Game Reserve in Africa is in Tanzania, did you know that?Vivutiotz: Tourism Attractions in Tanzania and Africa
 
Ina km za mraba zaidi ya 55 000 ni zaidi ya Rwanda na Burundi ukizichanganya pamoja
 
Back
Top Bottom