Sema chochote kuhusu MwanaFA

Deo Corleone

JF-Expert Member
Joined
Jun 29, 2011
Posts
17,006
Reaction score
13,281
NI kati ya wasanii wachache ambao wameweza kumantain toka wailpoanza. ana masters toka pale coventry universty na taarifa za uhakika anaweza kuanza phd pale udsm mwaka huu.
unaweza kuendelea( weakness zake na strengths zinaruhusiwa.

 
BINAMU.......nnadhani wewe mwenyewe ni mwana fa.
hapana mkuu ila namkubali sana na ni role model wangu hata kama sijui kuimba. nasikilizaga nyimbo zake zote aisee. hata jina langu limetokana na yeye
 
hapana mkuu ila namkubali sana na ni role model wangu hata kama sijui kuimba. nasikilizaga nyimbo zake zote aisee. hata jina langu limetokana na yeye

haya binamu,huyu jamaa amesoma ila anafanya game kama hajasoma,style yake haichangamshi na naweza kusema haweki manjonjo kwenye nyimbo zake(zimepooza)
 
haya binamu,huyu jamaa amesoma ila anafanya game kama hajasoma,style yake haichangamshi na naweza kusema haweki manjonjo kwenye nyimbo zake(zimepooza)
hebu sikiliza" tuliza boli" then uje yalaiti ama ngoma aliyoshirikishwa na maua. sijajua manjonjo gani unataka! ila hamis kabadilika sana na anakuwa mpya kila siku
 
evelyne salt please mwambie jamaaa hapa atanifikisha kuleeee !af wafanye hivo kwa wasanii woote sio FA banaaa!
 
Last edited by a moderator:
jamaa ni mkali sana, ila kwa upande wangu naona kama kwa sasa ukali wake unapungua. Nikikumbuka nyimbo zake za zamani kama, tuliza boli, ungeniambia, dirisha la misukosuko, mabinti damu damu, hawajui na binamu ni karinganisha na nyimbo zake za sasa, kwa upande wangu naona napoteza ladha labda kwa sasa beats zinakuwa kali zaidi lakini sipati ile flavour yake halisi.
But still anajua
 
kama kunigusa leo mmenikamata namkubali hakuna mfano, sababu anaweza anachokifanya
 
Akazane Kusoma

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Nakukubali sana But Jaribu Kukazaa mziki coz we na A.Y mmetoka Mbali But A.Y anakuzidi Creativity Wakati we unamzidi Uandisi all ze bes
 
Jamaa anajua ila kaniboa kukubali kuwa kibaraka wa Ruge kisa aliahidiwa ubunge wa kuteuliwa.
Mwana hip hop anatakiwa awe mwanaharakati.
 
unaona hatari gani kujitambulisha kama mwana fa? kama sio wewe mwambie ajiunge ndo tuamini kama anakusikiliza. atakua msanii wa kwanza wa jf nafikiri, na hii itafungua milango kwa wengine. mia
 
hataki kuoa anadai bado yupo yupo kwanza. inadiwa ana anaemia aka siko seli.
 
haya binamu,huyu jamaa amesoma ila anafanya game kama hajasoma,style yake haichangamshi na naweza kusema haweki manjonjo kwenye nyimbo zake(zimepooza)

watu waliozoea midananda na michiriku na viduku utawajua tu wanataka hip hop iwe kama ndege mtini au zilipendwa,thats hip hop kinachomatter ujumbe co vionjo alafu we mgeni.
 
watu waliozoea midananda na michiriku na viduku utawajua tu wanataka hip hop iwe kama ndege mtini au zilipendwa,thats hip hop kinachomatter ujumbe co vionjo alafu we mgeni.
Malalamiko ya nini wakati jamaa kaambiwa aseme chochote? Kama ni ujumbe kila ana ya muziki inatakiwa owe nao..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…