Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Diamond ameajiri kibaraka wake kabisa hapa JF kazi yake kuu ni kumpamba na kumpa sifa za marehemu.unaona hatari gani kujitambulisha kama mwana fa? kama sio wewe mwambie ajiunge ndo tuamini kama anakusikiliza. atakua msanii wa kwanza wa jf nafikiri, na hii itafungua milango kwa wengine. mia