Sema chochote kuhusu MwanaFA

unaona hatari gani kujitambulisha kama mwana fa? kama sio wewe mwambie ajiunge ndo tuamini kama anakusikiliza. atakua msanii wa kwanza wa jf nafikiri, na hii itafungua milango kwa wengine. mia
Diamond ameajiri kibaraka wake kabisa hapa JF kazi yake kuu ni kumpamba na kumpa sifa za marehemu.
 
unaona hatari gani kujitambulisha kama mwana fa? kama sio wewe mwambie ajiunge ndo tuamini kama anakusikiliza. atakua msanii wa kwanza wa jf nafikiri, na hii itafungua milango kwa wengine. mia

Mkoloni yupo humu kitambo wengine ID za kuchonga kama sisi!!
 
ana uhusiano wowote na Football Association ya U.k FA ambao leo wameandaa mechi ya kukata shoka baina ya Timu yangu Manchester United na Vibonde Wetu Chelsea.
 
mwambie Kinondoni twamkumbuka, wengine alitushawishi tuwe wanamuziki tukashindwa tokana na shule, all the best my boy!!!
 
diamond ameajiri kibaraka wake kabisa hapa jf kazi yake kuu ni kumpamba na kumpa sifa za marehemu.
kwa hiyo unamaanisha nami ni kibaraka ama? Hivi ukimsifia mtu anayejua basi ametumwa?. Mi namfahamu hamis ila yeya hanifahamu mimi
 
wacha...hebu fafanua inaonekana unajua kitu..

nduu/mamaya hana anachochojua. Kwani wote ambao hawajaoa wana huo ugonjwa? Fa ana mtoto na amesema ataoa ila anasubiri
 
unaona hatari gani kujitambulisha kama mwana fa? Kama sio wewe mwambie ajiunge ndo tuamini kama anakusikiliza. Atakua msanii wa kwanza wa jf nafikiri, na hii itafungua milango kwa wengine. Mia
sasa nitajitambulishaje wakati mimi hamis hanifahamu? Hebu tuamianiane kuwa mi ni fan wake tu basi
 
Jamii hajui kupiga pamba kabiiiisa! Alafu ileee kiboya zaidi (legelege)
 
Ningemshauri aitumie elimu yake kubadilisha kipato chake, Diamond kamuacha mbali sana na wakati yeye ni mkongwe kuanzia umri, kwenye game na hata elimu. Anatakiwa aonyeshe watu watamani elimu waone matunda yake
 
sasa nitajitambulishaje wakati mimi hamis hanifahamu? Hebu tuamianiane kuwa mi ni fan wake tu basi

hivi kale kagari kake kekendu kashakauza? mwambie jf nmekutana na yule jamaa aliyekusaidia kugeuza gari baada ya wewe kushindwa maeneo ya kinyama kwa dada ako 2007. mia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…