Sema chochote unachokitaka hata kama unaweza paka

Sema chochote unachokitaka hata kama unaweza paka

ukwaju_wa_ kitambo

Senior Member
Joined
Sep 15, 2024
Posts
150
Reaction score
173
images-37.jpg
MR. PREZZY - G ( STUDIO BONGO RECORDS)

Sema chochote unachokitaka hata kama unaweza paka mi ndio nasema naonyesha kipaji/ kama dibaji ongea unachokitaka na piga na domo so mi ndio in chaji/ chochote nasema kwa maana mi msema chochote na nina mrusha yoyote namrusha Taji/ na mrusha Taji "liundi" kama denge mi bundi kama una muwinda bundi sio muwindaji/ sio muwindaji kwa maana huwezi ku muwinda budi , cheki na nata kama bundi ndio kipaji/ ndio kipaji Yaani kama kwenye soko vile Yaani sina jezi lakini mchezaji/ mi mchezaji nacheza kiwanja chochote na namba yoyote ndio kipaji/ si unaongea na simu wakati haina chaji hasa kwanini usiende kuichaji/ sema mama "mama" mi ndio aliyenitazama bila ya mama mi nisengekuwa na kipaji/ nisingekuwa na kipaji lakini Mungu ndio mu umbaji Ebu nivisheni Taji " nivisheni Taji / na sio Uongo kwenye Tunga naumiza Ubongo na si kupigi Dongo we mzungaji/ sio mzungaji kama sio basi mtendaji kama huwezi kuchunga uwezi kuitwa mchungaji/ kwani sio Maingizo watu wanaingiza ingiza tu wanaingiza tu mi sio Mwiingizaji/ mi sio Mwingizaji kwa maana mi naongopa nisije kuitwa mzungaji / ....

Endeleaaaaa..

Ukwaju wa kitambo
0767 542 202

#funguka.

Ebu shusha lycris zako bora kutoka kwa wasanii wa Hip hop Enzi huku ukizingatia vina mwanzo kati na mwisho kama alivyofanya huyu msanii wa Hip hop mr prezzy katika ngoma yake ya " G" .
Ngoma hii ikifanyika katika studio za " Bongo Records" kwa P funk majani miaka ya 2000.

Ukwaju wa kitambo

0767 542 202
 
Yo yo
Mbwa koko
Ukitoka maji ya chini unaenda maji ya ugoko
Kabla ya kufanya mtihani wa taifa unafanya mtihani wa moko
Baada ya mimba kinafuata mtoto
Nilipokuja kwenu mama yako akanimwagia makoko

Hiwezi amini niliandika haya mashairi nikiwa darasa la tano kitambo hicho

0714829....
 
Yo yo
Mbwa koko
Ukitoka maji ya chini unaenda maji ya ugoko
Kabla ya kufanya mtihani wa taifa unafanya mtihani wa moko
Baada ya mimba kinafuata mtoto
Nilipokuja kwenu mama yako akanimwagia makoko

Hiwezi amini niliandika haya mashairi nikiwa darasa la tano kitambo hicho

0714829....
Much Respect
 
Back
Top Bottom