Sema kigumu unachopitia upate ushauri

Sema kigumu unachopitia upate ushauri

Habari wanajukwaa

Lengo la uzi ni kutaka kila mwanajukwaa kufunguka kile kigumu anachopitia ili apate Suluhusho iwe

Ugonjwa,mahusiano,changamoto ya kiuchumi,Elimu na jambo lolote ambalo unahis ni gumu kwako.

Funguka wewe usiogope Mungu anaweza kuwa pamoja na wewe Ukapata msaada na kwa yoyote atakayeona post ya mtu anahitaji msaada usiache kusema chochote

Je wewe uko na shida gani..?

Funguka upone
Ndugu mleta mada kama vichwa vyetu vingekuwa vina bast kwa kuzidiwa na mambo tunayo pitia basi huko mitaani kungekuwa kunasikika vishindo vya mipasuko ya vichwa.
Mahusiano, uchumi, afya , umaskini nk vina tuwazisha sana,sana.
 
Dahhhhhhh hiyo ya kuwa n mahusiano hain hark hr usiwaze utafik tu wakati sahihi utampata usijichoshe kwa hilo coz kun wenzio ss hiv wanalilia kwenye Shuka
Bro kuwa single halafu mpweke hakuna raha yeyote hata ukiwa na hela
Ukisikia mtu anasema single and happy huyo muongo.
Mi usingle umenichosha sana basi tu natamani hata niwaambie wazazi wanitafutie hata mke nioe tu bila uchumba yaishe.
 
Shida yangu ni hii serikali ya mama, kila nikikumbuka kuwa tunaweza kuwa naye hadi 2030 huwa nafadhaika sana na hata kupoteza morali wa kazi, natamani tungepata jembe lingine kama chuma JPM kinyooshe nchi kwa miaka kama 15 hivi.
NB: Siamini katika demokrasia wala dini
 
Kwa nini tunaaminishwa mimea ya asili inastahilmili, ukame magonjwa, na wadudu lakini mimea hiyo hiyo inashidwa kuhimili ujio wa mimea iliyofanyiwa uhandisi wa vinasaba, na mimea hiyo inayovamia mimea yetu ya asili haina uwezo wa kustahimili ukame , amgojwa na wadudu?

Karibu kwa majibu.
 
Shida yangu ni hii serikali ya mama, kila nikikumbuka kuwa tunaweza kuwa naye hadi 2030 huwa nafadhaika sana na hata kupoteza morali wa kazi, natamani tungepata jembe lingine kama chuma JPM kinyooshe nchi kwa miaka kama 15 hivi.
NB: Siamini katika demokrasia wala dini
Uchaguzi ni mwakani lolote linaweza kutokea kiongozi
 
Huyo unayetamani atoke anayo demokrasia au dini?
Shida yangu ni hii serikali ya mama, kila nikikumbuka kuwa tunaweza kuwa naye hadi 2030 huwa nafadhaika sana na hata kupoteza morali wa kazi, natamani tungepata jembe lingine kama chuma JPM kinyooshe nchi kwa miaka kama 15 hivi.
NB: Siamini katika demokrasia wala dini
 
Madeni wakuu! Madeni jamani!!! Madeni yamenifanya nakosa ujasiri wa kupambana!!!!! Na sijui nachomokaje hapa....na kila kitu kwangu kimesimama!!! Nishaurini nachomokaje hapa
Daganya akili yako kuwa hudaiwi, Kisha ujasiri utakuja wenyewe.

Jinsi ya kudanganya ni kuacha kuwaza madeni, na kuwaza Kutodaiwa, waza kuwa tayari unapesa nyingi na umelipa madeni yote. Hili linafanyika ukiwa huna chochote kabisa lakini baada ya muda kila kitu kitafunguka.
 
Back
Top Bottom