Si jukwaa la celebrity Hili kwahiyo si mbaya alichopostHivi mleta mada unapata faida gani kusifia kitu si chako? Hapo Diamond wala hakujuwi na pengine hana kabisa habari nawe, jitahidi na wewe ufanikiwe wacha ujanadume wa Dar, fanya kazi.
Wewe yako ya kijana iko wapi? Ukute hata gari ya nyongeza (passo) hujafanikiwa kumiliki unapondea LC200 VX V8!bado gari za kizee hizo.
hapo ya kizazi ni hilo x7,akiongezeka mnyama mkali Rr,RR itakiwa cool sana.
Wa bongo ujuaji mwingi hata vitz yenyewe Hana zaidi ya kuona kwenye tv au kwenye mitandao ya kijamii alafu anajikuta anajua Sana ukute hapo yupo kwa shemeji anakata chenji anazotumwa dukani.Wewe yako ya kijana iko wapi? Ukute hata gari ya nyongeza (passo) hujafanikiwa kumiliki unapondea LC200 VX V8!
Hio X6 unayosifia haifikii hata thamani ya hio Prado tu hapo achilia mbali hayo majiko ya V8!
Yani wanaudhi sana, mtu hana muelekeo wa maisha ila still anaponda hustle za vijana wenzie.Wa bongo ujuaji mwingi hata vitz yenyewe Hana zaidi ya kuona kwenye tv au kwenye mitandao ya kijamii alafu anajikuta anajua Sana ukute hapo yupo kwa shemeji anakata chenji anazotumwa dukani.
Ndo maana wanakuwa hawana Mafanikio kazi kujambajamba tu kwenye masofa ya shemeji na kuiba hela za bando alafu wanakuja huku kutusumbua.Yani wanaudhi sana, mtu hana muelekeo wa maisha ila still anaponda hustle za vijana wenzie.
Ume ingia cha kike nini...ili jukwaa nila mambo kama haya kua cerebrity wakushushie nyuzi kama izoHivi mleta mada unapata faida gani kusifia kitu si chako? Hapo Diamond wala hakujuwi na pengine hana kabisa habari nawe, jitahidi na wewe ufanikiwe wacha ujanadume wa Dar, fanya kazi.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Sijaona comment ya Robidinyo
Ingekua vyema Kama ungeweka parking ya bunge tulinganishe.
Tunaomba picha ya parking ya bunge
acha utani plate number ya mbunge huanzia na MP
Sijawahi sikia wala ona, ila nnachojua gari ya mbunge huwa na plate no. za kawaidaacha utani plate number ya mbunge huanzia na MP
Aisee hela noma wakuu. Parking ya huyu mtoto mdogo ni kama parking ya bungeView attachment 1460273. Gari zote za heshima nyingine ukizungusha funguo tu Lita nne za mafuta zinakata
Embu weka Nyumbani kwa Mshua wake huyu jamaa tupaone napo.Aisee hela noma wakuu. Parking ya huyu mtoto mdogo ni kama parking ya bungeView attachment 1460273. Gari zote za heshima nyingine ukizungusha funguo tu Lita nne za mafuta zinakata
mkuu usiwe standby kushambulia kama dondora.Wewe yako ya kijana iko wapi? Ukute hata gari ya nyongeza (passo) hujafanikiwa kumiliki unapondea LC200 VX V8!
Hio X6 unayosifia haifikii hata thamani ya hio Prado tu hapo achilia mbali hayo majiko ya V8!
you are very weak and too emotional sir[emoji23][emoji23][emoji23].Yani wanaudhi sana, mtu hana muelekeo wa maisha ila still anaponda hustle za vijana wenzie.
msiojua,sisi ndio tunambadilisha mond.Wa bongo ujuaji mwingi hata vitz yenyewe Hana zaidi ya kuona kwenye tv au kwenye mitandao ya kijamii alafu anajikuta anajua Sana ukute hapo yupo kwa shemeji anakata chenji anazotumwa dukani.