Hello,
Kama title inavyo sema,sitaki kusema mengi Binafsi nguo yangu ya ndani naweza kuiva wiki 3 mpaka baadhi ya maeneo yanakua meusi.
Je, wewe unavaa kwa muda gani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wa stend goso lako hatariiiiSisi tunashinda na mashuka ndani haina haja ya kuvaa tena ingine
Kila siku lazima nitundike boksa mupya mwiliniHello,
Kama title inavyo sema,sitaki kusema mengi Binafsi nguo yangu ya ndani naweza kuiva wiki 3 mpaka baadhi ya maeneo yanakua meusi.
Je, wewe unavaa kwa muda gani?
Sent using Jamii Forums mobile app
AhahaahhahNgoja wanaovaa waje!!
Kumbe zinafuliwagwa?
haha[emoji119]Haaa, za ndani, mmmh hivi nikisema navaa nikiwa natoka tu humu home sivai nani ataamini.
Sent using Jamii Forums mobile app
haaaaa ww n wakutengwaHello,
Kama title inavyo sema,sitaki kusema mengi Binafsi nguo yangu ya ndani naweza kuiva wiki 3 mpaka baadhi ya maeneo yanakua meusi.
Je, wewe unavaa kwa muda gani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Unajifanya sio mbongo ww. Hata wenye maduka hawamiliki....Daily natinga boxer mpya maana ninazo kama 30 hivi..... MfalmewaKiha,
Sent using Jamii Forums mobile app
ni intereste na hulka tu kwani boxer 30 sh.ngapiUnajifanya sio mbongo ww. Hata wenye maduka hawamiliki....
Kudadeki suruali bila chupiBinafsi zivai boxa nina miaka 2 natupia suruali mbele
mzeee boxer tatu buku kumi kinakushinda nini kuzimiliki 30 tena fanya kununua kila mwisho wa mweziUnajifanya sio mbongo ww. Hata wenye maduka hawamiliki....
Acha ukabila mkuuSwali linaloonyesha kiwango cha juu cha upumbavu na mtu mchafu kupindukia.Kwa mtu anaejielewa ni lazima kila siku unaoga asubuhi ukitoka na jioni kabla ya kulala.UNAWEZAJE KWENDA BAFUNI HALAFU UTOKE UJE UVAE NGUO YA NDANI ULIYOSHINDIA MCHANA KUTWA.Wewe jamaa ni Msukuma bila shaka.Swali la kipumbavu sana.
Acha kusema makabila ya watu we falaSwali linaloonyesha kiwango cha juu cha upumbavu na mtu mchafu kupindukia.Kwa mtu anaejielewa ni lazima kila siku unaoga asubuhi ukitoka na jioni kabla ya kulala.UNAWEZAJE KWENDA BAFUNI HALAFU UTOKE UJE UVAE NGUO YA NDANI ULIYOSHINDIA MCHANA KUTWA.Wewe jamaa ni Msukuma bila shaka.Swali la kipumbavu sana.