Utakuww hujui maana na madhumuni ya jamiiforums mkuu. Jamii ina majukwaa mengi, yakiwemo ya siasa, elimu, intelijensia, siasa n.kWabongo ndiyo maana tunaangamia kama Taifa. Hatuwazi mengine zaidi ya ngono.. ngono... Ngono... Huu ni uninga.. JF anza kuchuja mada siyo kila mtu anaibuka na story za mapenzi, ngono na nyuzi zenyewe ziko dhahili haifundishi jamii chochote cha maana hata katika arena hiyo ya mahusiano.
Ujinga ni kuwaza ngono muda wa kazi...ila muda wa mapumziko ni wa kujiliwazaWabongo ndiyo maana tunaangamia kama Taifa. Hatuwazi mengine zaidi ya ngono.. ngono... Ngono... Huu ni uninga.. JF anza kuchuja mada siyo kila mtu anaibuka na story za mapenzi, ngono na nyuzi zenyewe ziko dhahili haifundishi jamii chochote cha maana hata katika arena hiyo ya mahusiano.
Dogo umeanza Mapenzi juzi tu unaanza kusumbua maswali, wengine hata idadi hatukumbuki tunashindwa tuanzie mwaka ganiMimi binafsi nilianza kufanya mapenzi mwaka 2014, japo mwaka 2012 nilipata demu mmoja alinipenda sana na alikuwa bikira nikashindwa kumla kwa sababu nilikuwa sijui namna ya kuondoa bikira. Binafsi nina uume mkubwa kwa hiyo ulikuwa unakataa kuingia kwenye papuchi yake iliyobana na alikuwa mkavu kiasi.
Nilipomwambia jamaa angu kuwa nilishindwa toa bikira alinitukana sana akanambia "WE FALA UNGEWEKA MATE"
Baada ya hapo sasa, nikajifunza mapenzi kwa bidii. Nafikiri mimi nimefikia ngazi ya PHD katika mapenzi.
Ukweli mpaka sasa nimekula mademu 11 tu tangu nianze kupenzika. Kwa miaka yote 6 ni hao tu. Ambao niko mbioni kuwala ni wanne kwa sasa.
Je? Wewe umetembea na wangapi hadi sasa na kwa muda gani?View attachment 1327943
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio, kuna tatizo?Kwa hiyo kila baada ya siku mbili ulikuwa unaliwa
Una biblia ya kiafrika? Au unatumia tu hiyo ya wazungu ?1 Wakorintho 6
wadhalimu hawataurithi ufalme wa Mungu? Msidanganyike; waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti,
10 wala wevi, wala watamanio, wala walevi, wala watukanaji, wala wanyang'anyi.
Una biblia ya kiafrika? Au unatumia tu hiyo ya wazungu ?1 Wakorintho 6
wadhalimu hawataurithi ufalme wa Mungu? Msidanganyike; waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti,
10 wala wevi, wala watamanio, wala walevi, wala watukanaji, wala wanyang'anyi.
Siijuwi hiyo biblia ya Kiafrika. Imeruhusu hayo mambo yaliyotajwa?
Nani huruhusu na nani hukataza?Siijuwi hiyo biblia ya Kiafrika. Imeruhusu hayo mambo yaliyotajwa?
Mkuu nipe uzoefu bwana sitaki kabisa kuongeza idadi.Wengi huona fakhari sana suala la kuzini.
Ni uasi mbele ya Mola.
Nimeshafikisha miaka 40+ na nina mke ndiye huyo tu ninayemjua kimapenzi.
Sijawahi kuzini na maisha yanaendelea kama kawaida.
Maisha bila uzinifu yanawezekana.
Biblia.Nani huruhusu na nani hukataza?
Halafu nimeona uzi wako umechoka kukaa kwa mama mkwe[emoji3][emoji3][emoji3]. Ujue hata hiyo ni dhambi. Dhambi ya kutomheshimu mume kama kichwa cha familia kama biblia isemavyo.
Sent using Jamii Forums mobile app