Sema ukweli, umewahi fanya mapenzi na wanaume au wanawake wangapi?

Sema ukweli, umewahi fanya mapenzi na wanaume au wanawake wangapi?

Tunadanganyana eti K ni ile ile thubutu,,,,so far nimeshakula aina zote Wembamba_3,Wanene/Vibonge_5,Weupe_3,Weusi_10,Wenye Mtindi_5,Wasio na Mtindi_4,Wenye Bikira_3,Waliozaa_4,Walioomba kupelekwa uani_3,Inaleta jumla ya 40.(Nikimjumulisha na Wife tunapata 41).Nimebakia kujenga familia tuu kwa sasa.Tumeaachia wazee na ligi zenu za kujaza fuso/counter book.
 
Wabongo ndiyo maana tunaangamia kama Taifa. Hatuwazi mengine zaidi ya ngono.. ngono... Ngono... Huu ni uninga.. JF anza kuchuja mada siyo kila mtu anaibuka na story za mapenzi, ngono na nyuzi zenyewe ziko dhahili haifundishi jamii chochote cha maana hata katika arena hiyo ya mahusiano.
 
Wabongo ndiyo maana tunaangamia kama Taifa. Hatuwazi mengine zaidi ya ngono.. ngono... Ngono... Huu ni uninga.. JF anza kuchuja mada siyo kila mtu anaibuka na story za mapenzi, ngono na nyuzi zenyewe ziko dhahili haifundishi jamii chochote cha maana hata katika arena hiyo ya mahusiano.
Utakuww hujui maana na madhumuni ya jamiiforums mkuu. Jamii ina majukwaa mengi, yakiwemo ya siasa, elimu, intelijensia, siasa n.k

Huu uzi umeandkwa ktk jukwaa la social longue. Ndani yake kuna mahusiano/mapenzi na mengine yanayohusiana. Haya ulitaka jukwaa la mapenzi tuandike takwimu za siasa.

Jamiiforums iko identified vyema kabisa. Anayetka dini, jukwaa lipo, anayetaka jokes jukwaa lipo, anayetaka historia jukwaa lipo.

Nachukia watu wanaojifanya wana busara sana kwenye vitu vya kawaida maishani.

Binafsi mimi siwezi ingia jukwaa lisilonihusu nikacomemt nionekane, so jifunze mahali na muda.

By the way sijajua kwann unacomment kwenye jukwaa lisilokufaa. Achana na kuishi kwa kujifanya Jesus au Mohammed ndugu yangu, after all we are human beings. Tomorrow is mystery. We live once.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wabongo ndiyo maana tunaangamia kama Taifa. Hatuwazi mengine zaidi ya ngono.. ngono... Ngono... Huu ni uninga.. JF anza kuchuja mada siyo kila mtu anaibuka na story za mapenzi, ngono na nyuzi zenyewe ziko dhahili haifundishi jamii chochote cha maana hata katika arena hiyo ya mahusiano.
Ujinga ni kuwaza ngono muda wa kazi...ila muda wa mapumziko ni wa kujiliwaza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi binafsi nilianza kufanya mapenzi mwaka 2014, japo mwaka 2012 nilipata demu mmoja alinipenda sana na alikuwa bikira nikashindwa kumla kwa sababu nilikuwa sijui namna ya kuondoa bikira. Binafsi nina uume mkubwa kwa hiyo ulikuwa unakataa kuingia kwenye papuchi yake iliyobana na alikuwa mkavu kiasi.

Nilipomwambia jamaa angu kuwa nilishindwa toa bikira alinitukana sana akanambia "WE FALA UNGEWEKA MATE"

Baada ya hapo sasa, nikajifunza mapenzi kwa bidii. Nafikiri mimi nimefikia ngazi ya PHD katika mapenzi.


Ukweli mpaka sasa nimekula mademu 11 tu tangu nianze kupenzika. Kwa miaka yote 6 ni hao tu. Ambao niko mbioni kuwala ni wanne kwa sasa.

Je? Wewe umetembea na wangapi hadi sasa na kwa muda gani?View attachment 1327943

Sent using Jamii Forums mobile app
Dogo umeanza Mapenzi juzi tu unaanza kusumbua maswali, wengine hata idadi hatukumbuki tunashindwa tuanzie mwaka gani
 
brightmind,
1 Wakorintho 6
wadhalimu hawataurithi ufalme wa Mungu? Msidanganyike; waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti,
10 wala wevi, wala watamanio, wala walevi, wala watukanaji, wala wanyang'anyi.
 
1 Wakorintho 6
wadhalimu hawataurithi ufalme wa Mungu? Msidanganyike; waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti,
10 wala wevi, wala watamanio, wala walevi, wala watukanaji, wala wanyang'anyi.
Una biblia ya kiafrika? Au unatumia tu hiyo ya wazungu ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1 Wakorintho 6
wadhalimu hawataurithi ufalme wa Mungu? Msidanganyike; waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti,
10 wala wevi, wala watamanio, wala walevi, wala watukanaji, wala wanyang'anyi.
Una biblia ya kiafrika? Au unatumia tu hiyo ya wazungu ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siijuwi hiyo biblia ya Kiafrika. Imeruhusu hayo mambo yaliyotajwa?
Nani huruhusu na nani hukataza?

Halafu nimeona uzi wako umechoka kukaa kwa mama mkwe[emoji3][emoji3][emoji3]. Ujue hata hiyo ni dhambi. Dhambi ya kutomheshimu mume kama kichwa cha familia kama biblia isemavyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wengi huona fakhari sana suala la kuzini.
Ni uasi mbele ya Mola.

Nimeshafikisha miaka 40+ na nina mke ndiye huyo tu ninayemjua kimapenzi.

Sijawahi kuzini na maisha yanaendelea kama kawaida.

Maisha bila uzinifu yanawezekana.
Mkuu nipe uzoefu bwana sitaki kabisa kuongeza idadi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na wale madada poa tuna waingiza kwenye list au ni ya mademu tuu ulipiga nao mkataba??...Pia wale wa One night stand tuna wahesabu au?
 
Daaah nimesoma hii thread hadi nikasikitika aisee nimegundua kumbe motoni naweza kujikuta peke yangu yaaani Daaah.![emoji17]...Sema ujana maji ya moto.

Daah ninacho kumbuka mchezo mbaya nialianza mwaka 1997 sasa shida inakuja idadi sikumbuki maana kwa vipindi vyote hivyo temekuwa na House girl zaidi ya 7 na wote ilitokea bahati mbaya nikawala.

Daaah marafiki zake Dogo walikuwa wanaleta shobo full kumwita Wiii sijui ndio wifi....hao sikumbuki idadi wala majina yao. Dogo alikuwa yule mtoto mwongeaji sana alikuwa na marafiki balaah.

Bado wale wa mtaani gombania goli...tunakaa maskani alafu tunapeana namba kufukuzia then unachapa unampa mwenzako kijiti. Yaani wa mtaani wanafika 8

Daaah ....sema hii idadi yao ilikuwa chache bhana wanafika 4 tuu. Hawa bhana ni wale wa Collaboration a.k.a Mtungo.

Sasa naanza kustaarabika napeleka mademu gest na lodge sio tena kwenye vichaka,home,kwenye ma gheto ya washkaji na majumba mabovu...hapa na zaidi ya 20.

Likizo ninazo enda kijijini kwetu 4m 4 and 4m 6 kwa kijijini wanafika 25 tena nahisi wanaweza kuzidi.

Daaah...miaka kazaa niliyo kaa chuo kusoma aisee...first year nilikuwa mpolee nikala kama pisi 5 kwa mwaka mzima...Shida ilianza nilivyo hamia off-campus nikawa naishi mwenyewe...Daaah 1st year wale wageni wanisamehe maana ndio ilikuwa Lodge yao mpaka wana elewa mazingira ya Chuo na mji.

Haya kundi la mademu zangu kichefu chefu hawa sio wengi ni kama 7 nilio dumu nao miezi 3 mpaka mwaka.

Wafanyakazi wenzangu...ajira na visemina vyake na tour mbali mbali Daah hapa haraka haraka wanakuja 5.

Daaaah...ujana bhana hapa bado hawa wa njiani nikiwa na kiu unavuta chap unakata kiu kwa bao moja unasepa Moro-Mtaa mmoja upo town sikumbuki jina upo karibu na ofisi za CCM,Mafinga-Ma K road,Mwanza-Villa park,Dar-Sinza,Moshi-Mtaa sijui unaitwaje but ujinga tunafanyia kwenye Library ile ipo mjini,Arusha,Mbeya Daah ila idadi ni kama 19

Duuuuh nilitaka kulisahau ili kundi la nyumba za kupanga nilikula 3 tu familia ilivyo ongezeka nikajikuta napanga nyumba ya kukaa na familia sina tena wapangaji wakuomba CD,Sijui naomba unitengeneze Dish la Tv mara naomba uje unisadie kuweka taa imeungua. Yaani nilipata shida sana

Hawa bhana wa kula tunda kimasihara nahisi kwa haraharaka bila kupepesa macho wanaweza kufika 35.

Alafu wa mwisho ni Bar maids na wale ninao kunywa nao alafu bahati mbaya tukalewa alafu shatani akatuchukua kutupeleka kufanya ujinga hawa bhana wanafika 10.

Wengine sikumbuki bhana...Daaah
 
Back
Top Bottom