Sema ukweli, umewahi fanya mapenzi na wanaume au wanawake wangapi?

Sema ukweli, umewahi fanya mapenzi na wanaume au wanawake wangapi?

Yes uko sahihi mkuu,wengi hudhania kutembea na wengi ni ufundi lakini kumbe sio hvyo,ufundi katika mapenzi una maana kubwa pia kwa wale wanaoelewa hilo jambo.
Ujue kutembea na wengi na kuwa fundi ni vitu viwili tofauti. Mimi ni fundi coz nmejifunza sana mambo mengi. On top of that hao 11 nilikuwa nakaa na mmoja au wawili kwa muda mrefu, so sijawahi kuwa player kiviiiile.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mleta mada umenifanya nijione nina hatia moyon mwangu.
Siku zote mimi najiona nmetulia sina mambo ya mademu kiviiile.

Baada ya kuleta hii mada,nikaona nifanye hesabu nitakua nmewala wangap.

Nmehesabu mfululizo mpaka 30,kisha nikajisemea ndo hawa hawa.
Gafla nikakumbuka watano(5),kidogo nikakumbuka tena wengine

Saizi nipo kwenye 50 na bado nakumbuka mdogo mdogo dah nmejichukia sana.

Nikimaliza kukumbuka nafunga hesabu,sili tena aisee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jackline, Vee(mnyarwanda jina lake gumu lilinishinda nikampa hili), Swaumu/Saumu, Jackline mwingine, Happyness, Irene. Ni hawa tu tokea nianze harakati mwaka 2016, mtiririko ni kuanzia wa kwanza mpaka wa mwisho. Sijahesabu chini ya hapo maana nilikuwa mtoto na sikumaanisha kivile. Sidhani kama nimevunja sheria za JF kutaja majina ambayo hayamtambulishi bayana mtu.
 
Mleta mada umenifanya nijione nina hatia moyon mwangu.
Siku zote mimi najiona nmetulia sina mambo ya mademu kiviiile.

Baada ya kuleta hii mada,nikaona nifanye hesabu nitakua nmewala wangap.

Nmehesabu mfululizo mpaka 30,kisha nikajisemea ndo hawa hawa.
Gafla nikakumbuka watano(5),kidogo nikakumbuka tena wengine

Saizi nipo kwenye 50 na bado nakumbuka mdogo mdogo dah nmejichukia sana.

Nikimaliza kukumbuka nafunga hesabu,sili tena aisee

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimekula papuchi nyingi sana,kwa sasa hazingui mia mbili age 31. Hapa kitaa tu nna mwaka nimechafua balaa kama papuchi 27, mana ndo nna kazi wanaokuja ma kusepa vidogo nk
 
Back
Top Bottom