Sema ulichogundua au kujifunza humu JamiiForums

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mkuu hapa si kila mtu alichogundua[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Lol, nakubali ila dizain kama umeniongelea hiviii maana nikiangalia na mimi wa mwaka huu.[emoji23] [emoji23]

Sent from my Siemens kidole juu using JamiiForum mobile app.
 
Lol, nakubali ila dizain kama umeniongelea hiviii maana nikiangalia na mimi wa mwaka huu.[emoji23] [emoji23]

Sent from my Siemens kidole juu using JamiiForum mobile app.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ukisikia paaaa[emoji95] [emoji379]
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ukisikia paaaa[emoji95] [emoji379]
Oppss inakua imenipata au imenikosa hiyo?? lol

Sent from my Siemens kidole juu using JamiiForum mobile app.
 
Jf imeporomoka sana sio enzi zile kila Sikh Luna burning issues zinaongelewa,yaani utoto mwingi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimegundua kuna watu wanaamini Tundu lisu kila anachosema ni kweli100%, hawako tayari mtu kupinga.

Nimegundua kuna watu wanaamini Magufuli Kila anachosema anakosea 100%

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah... JF ya sasa siyo kama Ile zamani miaka ya 80s [emoji13] [emoji13]

Sent from my chips yai using JamiiForums Mobile App
 
[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]
 
Nimepata faida nyingi saana humu
Na hasa pia ya sim yangu kuisha chaj kila mda nkiingiapo humu

Sent from Calculator Phone vesion007
 
MIMI NIMEGUNDUA MALAIKA WA KUZIMA MTANDAO ANAITAMANI SANA JAMIIFORUMS

PIA, NIMEGUNDUA WANAWAKE WENG WA JF HAWAJAOLEWA
 
Nimejifunza mengi kunawatu huwa wanapunguza mawazo yao humu ndani, wengine ujifanya wajuzi zaida ya wezao kisa hatufahamiani , kuna watu wanapenda kuwakatisha watu tamaa na kuwaambia wakalimie inanipa wasiwasi kuwa hawakupita shule ya msingi Mali utaipata shambani, pia nimejifuza kuzuia asila zako ukiwa jf maana kunawatu wanapenda kujua asili ya MTU kupitia maandishi ya maneno yake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…