Masinki
JF-Expert Member
- Dec 18, 2014
- 709
- 478
Uongo wangu kwa siku ya Leo
1. Mimi ndio nimemtuma Mzee wa Magoma wa Yanga aende mahakamani ili tumuondoe Eng Hersi, alafu baadaye nichukue timu.
2. Vijana wa Gen Z Kenya nawalipa ili kisieleweke
3.Nitagombea Urais wa Tanzania 2025
4. Kuanzia leo siogi hadi Kmc awe bingwa NBC.
Sema na wewe
1. Mimi ndio nimemtuma Mzee wa Magoma wa Yanga aende mahakamani ili tumuondoe Eng Hersi, alafu baadaye nichukue timu.
2. Vijana wa Gen Z Kenya nawalipa ili kisieleweke
3.Nitagombea Urais wa Tanzania 2025
4. Kuanzia leo siogi hadi Kmc awe bingwa NBC.
Sema na wewe