Mkalukungone mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 862
- 1,755

Semaji la Vital'O FC Arsene Bucuti amesema nauli ya kurudi Burundi hana hivyo anatarajia kupewa na Rais wa Yanga Hersi na Watanzania wakaamua kumchangia nauli.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.

Kuna mechi nyingine tunaenda kununua mwezi October.Baada ya kununua match
Wabongo kucheza na sisi nirahisi sana ,sisiemu tu ndio wnauwezo wa kucheza na sisi kwa mwendelezo 😁😁😁Hahahahaha, jamaa kajua kucheza na wabongo ,safi sana, sawa sawa
Hahahahaha Ccm ni madj na mziki wanapiga wao, jukwaa wanawapa ,Hahahahaha, mbongo raha sanaWabongo kucheza na sisi nirahisi sana ,sisiemu tu ndio wnauwezo wa kucheza na sisi kwa mwendelezo 😁😁😁
Wamegusa kitovu kwani wana shida gani???? Mwenye njaa ni wengi😁😁Hahahahaha Ccm ni madj na mziki wanapiga wao, jukwaa wanawapa ,Hahahahaha, mbongo raha sana
Timu yake ya Vital'O ilirudije Burundi?Semaji la Dunia Arsene Bucuti kumbe nauli ya kurudi kwao Burudi hana, ametia huruma kwa Rais wa Yanga Eng Hersi na wadau wamchangie ili arudi kwao doh! Aibu tupu🙂
Semaji la Vital'O FC Arsene Bucuti amesema nauli ya kurudi Burundi hana hivyo anatarajia kupewa na Rais wa Yanga Hersi na Watanzania wakaamua kumchangia nauli.
Kwa hiyo nayo tutainunua kama ile ya tarehe 5 na tarehe Nane?Kuna mechi nyingine tunaenda kununua mwezi October.
NakaziaHuyu harudi Burundi
Nipo hapa
Mwamposa atamuelewa kweli?Jamaa ameshakuwa star tayari, soon itasikia anatoka na Jacqueline wolper
Kwani Wolper demu wa Mwamposa?Mwamposa atamuelewa kweli?
Ni muumini wake mtiifu toka wakiwa moshi,Kwani Wolper demu wa Mwamposa?
🤣🤣🤣 ni DemocrecySemaji la Dunia Arsene Bucuti kumbe nauli ya kurudi kwao Burudi hana, ametia huruma kwa Rais wa Yanga Eng Hersi na wadau wamchangie ili arudi kwao doh! Aibu tupu🙂
Semaji la Vital'O FC Arsene Bucuti amesema nauli ya kurudi Burundi hana hivyo anatarajia kupewa na Rais wa Yanga Hersi na Watanzania wakaamua kumchangia nauli.
Kama kawa na chakushangaza wanajua timu yao inauza mechi na bado uwanjani wanajaa.Kwa hiyo nayo tutainunua kama ile ya tarehe 5 na tarehe Nane?