Semaji la Vital' O achangiwa nauli ya kurudi Burudi

Semaji la Vital' O achangiwa nauli ya kurudi Burudi

Semaji la Dunia Arsene Bucuti kumbe nauli ya kurudi kwao Burudi hana, ametia huruma kwa Rais wa Yanga Eng Hersi na wadau wamchangie ili arudi kwao doh! Aibu tupu🙂:Agakakskagesh:

Semaji la Vital'O FC Arsene Bucuti amesema nauli ya kurudi Burundi hana hivyo anatarajia kupewa na Rais wa Yanga Hersi na Watanzania wakaamua kumchangia nauli.
sidhani kama huyu big anataamani hata kuondoka tena hapa,wiki mbili tu hizi ila amenjoy life pengine kuliko siku zingine za maisha yake
 
Back
Top Bottom