"Sembe and Dona over rated"

Ulipaswa kutuaminisha kwenye sredi tusikie kwamba TBS na TFDA wameiapprove Jajojo kama ni kweli hebu edit sredi otherwise unaogopa kufungwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Jajojo sembe/dona ikoapproved, ndio maana tuko sokoni. Jaribu kuwa muungwana heshimu kazi za watu.
 
uandishi wako umejaa Story zisizo na umuhimu katika marketing na lugha isiyoeleweka kwa wanunuzi. pia kuandika kiswanglish. bora basi andika kiswahili na tafsiri kwa english. hapo mwanzo nimeangalia sioni sembe au hiyo njano ndo sembe?


Hii storage system hapo chini tafadhari usiioneshe kwa wateja, hata magunia ya dagaa hayapangwi hivyo sembuse unga wa kula bila kuosha. umesema una vibali vya TBS na TFDA sidhani kama hata bwana afya wa halmashauri walitembelea godown lako wakakuta umepanga hivyo na wakakupa kibali. Ngoja nieendelee kuchungulia pengine ntaiona nembo ya TBS.
Hivi kweli hujui kuwa roba kukaa sakafuni na kugusa ukuta linapenyeza unyevunyevu unaosababisha kupungua ubora wa bidhaa na kupelekea kuishi wadudu hata sumu kuvu??



Unrelated issues. Kama unafadhili timu au kama wafanyakazi wako ndio wanatimu, nadhan haya na mambo yote yanahusu kujitolea katika jamii yakae kwenye sehemu maalumu ya "CSR'' tafuta kiswahili chake.
Nembo iliyoko kwenye mifuko ya unga haionekani popote kwenye website na hivyo kuleta hisia kuwa aliyetengeneza mfuko alijiwekea yeye ama aliyetengeneza website hakujiongeza kuweka nembo ya kampuni.


MWISHO;
Wazo la kuwa na website lilikuwa zuri lakini aliyetengeneza hana uzoefu na hajiongezi.
 
upo siriaz ? umeshindwa kuweka bei na location ? unalazimisha tufungue web yako ? nani ana mda huo ? huo unga utakula na mkeo !

kwanza unatakiwa ule ban, sheria za jf haziruhusu kuweka link hapa...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mheshimiwa kwanza napenda nikushukuru kwa mojo wa ushujaa! ushauri wako na mawazo yako yamefika. unahitajika sana kwenye taifa letu. Endelea kuwa na moyo huo.
 
upo siriaz ? umeshindwa kuweka bei na location ? unalazimisha tufungue web yako ? nani ana mda huo ? huo unga utakula na mkeo !

kwanza unatakiwa ule ban, sheria za jf haziruhusu kuweka link hapa...

Sent using Jamii Forums mobile app
Mheshimiwa punguza hasira! biashara ni matangazo! kuwa muungwana! tupo pamoja kujenga taifa letu.
 
kweli mjinga hataki kusoma! ondoa ujinga soma sites mbali mbali utajifunza vitu.
Sasa unaanza kubishana na kugombana na wateja mtandaoni je ana kwa ana itakuwaje?!

Hebu jifunze kuwa na mawasiliano ya kibiashara na wateja wako.....huyu unayejibizana naye ni aina ya mteja ambaye hatumii huduma ya tovuti yeye anataka taarifa ya papo kwa hapo kama unadhani ni website ni kwa kila mteja basi jua unafanya kwaajiri ya umaridadi wa biashara yako na si kwaajiri ya kuongeza mauzo. Bora umjibu vema ili kesho akitumia bidhaa akaipenda apate mzuka wa kuja kwenye website yako ajionee zaidi.

SONY Xperia Z5 Premium
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…