Semeni Kabisa Kuhusu Bravos : Msisubiri Abatuliwe Muanze Kusema 'Bomu Mochware'

Semeni Kabisa Kuhusu Bravos : Msisubiri Abatuliwe Muanze Kusema 'Bomu Mochware'

kinje ketile

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2015
Posts
5,089
Reaction score
9,664
Nimesikitishwa Sana Kusikia eti Simba imeifunga timu ya Madrasa huko Tunisia CS Sfaxien...! Hawa jamaa ni Mabingwa mara nne wa michuano ya CAF miaka ya karibuni.

Hawa wanaosema hivyo, ndo Wale wale Waliosema mmenunua Ugomvi na watunisia mkienda kwao Kisasi kinawahusu.

Sasa toeni Kauli moja...Bravo anajiweza ama La , ili Watu wajue Wanampasua mtu wa namna gani.Kupasuka Lazima apasuke.!
 
Nimesikitishwa Sana Kusikia eti Simba imeifunga timu ya Madrasa huko Tunisia CS Sfaxien...! Hawa jamaa ni Mabingwa mara nne wa michuano ya CAF miaka ya karibuni.
Hawa wanaosema hivyo, ndo Wale wale Waliosema mmenunua Ugomvi na watunisia mkienda kwao Kisasi kinawahusu.
Sasa toeni Kauli moja...Bravo anajiweza ama La , ili Watu wajue Wanampasua mtu wa namna gani.Kupasuka Lzm apasuke.!
HIVI KUNA MTU ANAJIELEWA KABISA AKAACHA SHUGHULI ZAKE AKAKAA KUFUATILIA/KUANGALIA HILO KOMBE LA MCHANGANI?
 
Nimesikitishwa Sana Kusikia eti Simba imeifunga timu ya Madrasa huko Tunisia CS Sfaxien...! Hawa jamaa ni Mabingwa mara nne wa michuano ya CAF miaka ya karibuni..!

Umeona aibu kusema ni mabingwa wa CAF confederation cup unasema tu mabingwa wa CAF wakati CAF ina michuano miwili tofauti.

Umeona aibu kutaja mara ya mwisho kubeba hilo kombe ni mwaka 2013, na mara ya mwisho kufanya vizuri klabu bingwa ni meaka 2016. Na ukashindwa hata kuonesha michezo mitano ya mwisho kwenye ligi yao wameambulia matokeo ya aina gani.

Na la mwisho ni kwamba katka hii michuano ya CAF msimu huu ( champions league na confederation cup) ni CS Sfaxien peke yake ndio timu yenye point 0 hadi sasa. Ndio timu mbovu katoka msimu huu kuliko timu zote
IMG_20250107_215531.jpg
 
Umeona aibu kusema ni mabingwa wa CAF confederation cup unasema tu mabingwa wa CAF wakati CAF ina michuano miwili tofauti.

Umeona aibu kutaja mara ya mwisho kubeba hilo kombe ni mwaka 2013, na mara ya mwisho kufanya vizuri klabu bingwa ni meaka 2016. Na ukashindwa hata kuonesha michezo mitano ya mwisho kwenye ligi yao wameambulia matokeo ya aina gani.

Na la mwisho ni kwamba katka hii michuano ya CAF msimu huu ( champions league na confederation cup) ni CS Sfaxien peke yake ndio timu yenye point 0 hadi sasa. Ndio timu mbovu katoka msimu huu kuliko timu zote View attachment 3195281

Haya sawa, tuseme ulichoandika ni sawa, Wewe topolo embu sema Sasa kumuhusu Huyu Bravo ...! Kabla Sijamgeuzia Kibra...!

Vilio vya Pipa rafiki yake mfuniko hatutaki..!
 
Umeona aibu kusema ni mabingwa wa CAF confederation cup unasema tu mabingwa wa CAF wakati CAF ina michuano miwili tofauti.

Umeona aibu kutaja mara ya mwisho kubeba hilo kombe ni mwaka 2013, na mara ya mwisho kufanya vizuri klabu bingwa ni meaka 2016. Na ukashindwa hata kuonesha michezo mitano ya mwisho kwenye ligi yao wameambulia matokeo ya aina gani.

Na la mwisho ni kwamba katka hii michuano ya CAF msimu huu ( champions league na confederation cup) ni CS Sfaxien peke yake ndio timu yenye point 0 hadi sasa. Ndio timu mbovu katoka msimu huu kuliko timu zote View attachment 3195281
Kwani Yang'a amewahi kulichukua
 
Back
Top Bottom