Victor wa happy
JF-Expert Member
- Apr 24, 2013
- 11,660
- 11,654
Kampuni gani usije kua banana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu kuwa kiguu na njia, zali kama hilo litakuangukia tuHizi zali za bia utokea Mara kwa mara. Kwanini zali za bangi hazitokeagi
kuna la viroba lilianguka mpkani mwa wilaya ya hai na siha mbele kidogo ya machinjio ya wilaya ya hai ilikuwa ni balaa tupuNimekumbuka 2009 kuna ambalo lilianguka barabara ya moshi-arusha nusu ya bia zote chupa zilipasuka
Haramu!! Unajua gharama ya kuendesha depot ya bia wewe? Au unadhani ni carton za yeboyebo eee? Hapo imeanguka kama milioni 50+ hivi au 60+, watu wanajipatia kipato kwa ajili ya bia na wanalipa kodi.sababu ni biashara haramu bora hata limeanguka
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]lingekuwa semi limeanguka lililobeba mbwa wengi najaribu kuwaza siju kungetokea nini?
[emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134]Alafu wakipiga risasi juu zinakata kona.
Zuli za Bange huwa zinatokea. Mimi na mchizi wangu mudy tulishawahi kuokota kiroba kimejaa Bange.Hizi zali za bia utokea Mara kwa mara. Kwanini zali za bangi hazitokeagi
Hahhaahhahaaa[emoji28][emoji28][emoji28]Kumbe mnajuaga mipaka eeeeee!!! Hahaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Tulia wewee mwanajeshi uchwara wa ngerengere.Haramu!! Unajua gharama ya kuendesha depot ya bia wewe? Au unadhani ni carton za yeboyebo eee? Hapo imeanguka kama milioni 50+ hivi au 60+, watu wanajipatia kipato kwa ajili ya bia na wanalipa kodi.