Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,855
- 189,385
- Thread starter
- #21
Wanasema Mabadiliko Huja Taratibu Taratibu Ndio Kauli Zetu Za Matumaini.Huo ndio ukweli
Hunter we unajua kabisa baadhi ya michezo inawazidi inakuwa ya presha sasa kuonesha mahaba ya waziwazi wanashindwa kujizuia
KUPATA SEMINA KAMA HII SIO GUARANTEE YA KUTOVURUNDA KATIKA MICHEZO YA LIGI, KAMA UNABISHA WEWE SUBIRIA MIEZI MICHACHE IJAYO MADA YA WAAMUZI KAMA HAIJAANZISHWA
Kiukweli Waamuzi Wana Changamoto.