Semina ya waamuzi wa NBC Premier League

Wanasema Mabadiliko Huja Taratibu Taratibu Ndio Kauli Zetu Za Matumaini.

Kiukweli Waamuzi Wana Changamoto.
 
GSM ANAFANYA NINI KWENYE HII BARUA NA INAJULIKANA ALISHAJIENGUA UDHAAMINI WENZA? AU NDIO MCHONGO
TFF bado haijatoa barua ya pili zaidi ya mwanzo ya kusema wamepokea kutoka GSM kujiondoa.

Labda mambo ya mchakato hayajakamilika?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…