Send off ya mtoto wa kigogo Mlimani City imenifurahisha sana, muwe na adabu na sherehe za watu

Mwenyekiti wa kamati mkuu na wa vinywaji

M niliwashauri hao waliozifungua waachieni wakasema mtafuten jamaa mwenye shuhuli doh
Huo ni uchoyo uliopitiliza imagine wapo tayari wakamwage kuliko watu wanywe.
Vingekuwa havijafunguliwa labda ningeelewa.
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Hapo chap unachukua unyama
 
Huyo ni kigogo uchwara kama sio kigogo masikini!
M nanteteea mkuu
Yeye alikabidhi madaraka kwakamatuyavinywaji

Kamati ikatafuta kampuni kulinda na kampuni ta vinywaji kusambaza mpaka walewe

Wakapewa masharti wakitoka vikaguliwe

Binafsi narudia mwenyekiti alitakiwa kuwambia vile avijafunguliwa vibaki

Sio unabakinza sanziana mtu ashakunywq nusu nzimaaa

Kvant mtu ashakunywq nusu nzima

Konyagi ashakunywa nusu nzimaa

Savanna ama wine washafunguuuq

Nkajiuliza uizi wanapeleka wapi zote

Ujinga uliopitilizaaaa kabsaaa hata kama n kuuza sijawaelewa wanaaviyzajee
 
nimewapa codes za hizi kumbii

mzielewe haya maukumbi usionee mavinywaji mapombe kama yote chakula kama yote ukajichanganya
 
Mimi mama angu alikua hawezi toka harusini aja niletea ata paja la kuku au soda.💥Best feeling ever sio kwamba hawezi nunua ila ni basi na sisi tuwe tume onja vya harusini
Hata mimi maza enzi hizo, kwa kinyamwezi inaitwa kuhindula.
 
ushamba,ujinga, umaskini na lack of self discipline bado ni janga katika taifa la Tanzania.

Hivi unakuwa na uwezo wa kuchanga kuanzia laki na kuendelea vipi unakuwa bado na tabia za kiswahili na ulafi ulafi wa kipumbavu,watu wazima na wenye uwezo wa kupata hizo pombe fake huko kwenye maliquor store mnaaibika kisa ujinga na umasikini.

Kama hela ya mchango inakuuma sana incase ni bora usichange msilazimishe kuonekana mnajiweza kumbe ni masikini makapuku pumbav,,their is no honour in stupidity!!!!

Acheni kufake maisha nyie maskini bora usiudhurie huko siko mahali pako,,,hizo level hujafika ni bora utulie nyumbani kwako hiyo laki tatu ununue vitu nyumbani uenjoy na familia,,,,kuliko kwenda kuaibisha kama mitoto huko sehemu za wastaarabu.

#masikini muwe mnajua level na mipaka yenu!!!!
 
Kama aliwachangisha kiingilio basi asiwapangie cha kufanya....; Nadhani ukosefu wa Adabu umeanzia kwenye kutozana viingilio; ingekuwa bure nadhani watu wangeridhika hata kwa kujumuika kupiga soga...;
 
Mimi nashauri waandaaji wa sherehe/tafrija za usiku waheshimu muda.
Si vema kulisha watu misosi usiku mwiiingi; angalau chakula kiliwe kabla ya saa 2 usiku. Hii kuchelewesha inajengea watu utamaduni wa kutaka kubeba vyakula, ingawa kwa wengine ni tabia tu!
 
Ungewakumbusha tumbo hali ridhiki hata wangebeba vyote kungekucha wakatafuta tena chakula
Kama unaweza kuchanga laki mbili basi unaweza kula chochote unachotaka nje ya ukumbi kwa kununua hakuna haja ya kuiba chakula uondoke nacho
Hiyo ni Roho mbaya tu!!!
Watu kubeba mikosi iliyobaki kwenda kuwapa wana na kutupa jalalani bora nini?
 
Ww jamaa unasafari ndefu bado unaulafi na ushamba sana.Chakula huwa ni kipimo kizuri cha ustaarabu.Jitahidi utafute hela uwe na uwezo wa kunywa na kula chochote na kwa kiwango chochote utakacho na uwe unatembelea sehemu tofauti tofauti na zenye hadhi tofautitofauti baada ya muda utazoea chakula na kukiona ni cha kawaida sana.

Hali ya kuhusudi chakula kupitiliza huwa inaletwa na ushamba na kutokuwa na uzoefu nacho🤝
 
Nawaza harusini sijui kama walienda wengine
Maana baadhi ya walioalikwaa walikutana na haya naswaiba na n ndugu wa karibu wa binti wa harusi
 
Harusi za Dar bwana! Sasa mtu amechanga laki na utaratibu wa kamati kila mtu apate bia 6 akibakiza unamzuia za nini? Hongera mikoani kwa harusi nzuri!
 
Wabongo tuna upumbavu mno mkuu, yn mtu yupo tayari kuumizana kichwa kisa juisi ya embe afu baadae anaenda kuikojoa, namshukuru Mungu Mm sina utajiri n masikini tuu ila sijawahi kuwa na upumbavu huo nikienda kwenye sherehe yoyote ile.
Sidhan Kama hukuingia mikononi mwa kamati ?.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…