Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naomba kujuzwa siku ya send off kama mwanaume muoaji anatakiwa ajpange kwenda na vitu gani kwa maana nasikia huwa kunafaine za hovyo hovyo sana..
Hakuna chochote cha kupeleka...we vaa pendeza,uwe nadhifu...pale unakuwa kama unatambulishwa kwa ndugu wa upande wa kike ambao wanamuaga binti yao.
kongosho umenifurahisha kweli...yaani nimebaki nimecheka mpaka basi........bibi arusi atakavyonikmbilia mbona ni balaa..hahahahahaha
inategemea na mila za mkeo mtarajiwa. Muulize akwambie mapema