Sendoff ya Flaviana Matata yavutia sana wakazi wa Shinyanga na viunga vyake

huyo mwarabu hajishtukii wenzake wote wame tupia kigentleman yeye anavaa kama anaenda disko! kaharibu pich ya watu!
 
Kuna mdada ana mpododo hatari kajaliwa yale mambo ye2.....ngoja nisake namba yke
 
Du, naona amevaa kisabato.
Hongera zake.
Pole Mange, mwaka huu kila unayemchukia anabarikiwa.
 
Siasa hizi mbaya sana, zimenifanya hadi ubuyu wa mujini sina siku hizi!
Haya bibie Flaviana hongera zako, vipi zile 3*** some zako utampa na mume collabo au?
Hehehehe
 
Siasa hizi mbaya sana, zimenifanya hadi ubuyu wa mujini sina siku hizi!
Haya bibie Flaviana hongera zako, vipi zile 3*** some zako utampa na mume collabo au?
Hehehehe
Mi ndo kule kunanipendeza sana kuliko huku ngoja heka heka za uchaguzi zipite. Hyo sijui three .... Ndo walikua wana deshi deshi na wazungu tofauti wakiwa .....
 
Siasa hizi mbaya sana, zimenifanya hadi ubuyu wa mujini sina siku hizi!
Haya bibie Flaviana hongera zako, vipi zile 3*** some zako utampa na mume collabo au?
Hehehehe

Yawezekana uzushi tu jamani.
 
Mi ndo kule kunanipendeza sana kuliko huku ngoja heka heka za uchaguzi zipite. Hyo sijui three .... Ndo walikua wana deshi deshi na wazungu tofauti wakiwa .....

Hahahaaaaa, shoga nitafute pm sitaki mie kumwaga habari zake hapa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…