Sendoff ya Yanga imefanyika kwa Mkapa, Harusi na kuvaa Madela/Medali itakuwa Algeria Jumamosi

Sendoff ya Yanga imefanyika kwa Mkapa, Harusi na kuvaa Madela/Medali itakuwa Algeria Jumamosi

Bill

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2007
Posts
9,258
Reaction score
10,014
Yanga, amemaliza sherehe ya kuaga Mashindano ya Losers, CAF confederation CUP. Wageni na washuhudiaji karibu milioni 60 walihudhuria sherehe ya sendoff au kuagwa kwa Yanga Mashindano ya Losers.

Harusi ni Jumamosi, Yanga wanaenda tayari wamejiandaa kuvalishwa madela au medali. Hili ni tukio la uhakika. Tuombe tu yasije yakamkuta ya Horoya Uwanja wa Mkapa. Kuna hatari ya mtu kupigwa wiki ya siku 7.

Nawatakia ushindi Yanga kinyume chake.
 
Yanga, amemaliza sherehe ya kuaga mashindano ya loosers, CAF confederation CUP. Wageni na washuhudiaji karibu milioni 60 walihudhuria sherehe ya send off au kuagwa kwa Yanga mashindano ya loosers.

Harusi ni jumamosi, Yanga wanaenda tayari wamejiandaa kuvalishwa madela au medali. Hili ni tukio la uhakika. Tuombe tu yasije yakamkuta ya Horoya Uwanja wa Mkapa. Kuna hatari ya mtu kupigwa wiki ya siku 7.

Nawatakia ushindi Yanga kinyume chake.
Taja sababu kuu 3 kwanini Waarabu/Wahindi/Wazungu wasikuite wewe Mbumbumbu nyani, sokwe, chempanzee, gorilla?

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Ni bonge ya sherehe, unaweza sema diwali.../

Raha mustarehe, kijana wetu USM ALGER kapata kimwali.../

Sa unakosaje bwashehe, na jikoni wametenga wali.../

Ni mwendo wa makanzu kama mashehe, miss jangwani hapati kitu kwenye hii fainali.../
 
Ni bonge ya sherehe, unaweza sema diwali.../

Raha mustarehe, kijana wetu USM ALGER kapata kimwali.../

Sa unakosaje bwashehe, na jikoni wametenga wali.../

Ni mwendo wa makanzu kama mashehe, miss jangwani hapati kitu kwenye hii fainali.../
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Taja sababu kuu 3 kwanini Waarabu/Wahindi/Wazungu wasikuite wewe Mbumbumbu nyani, sokwe, chempanzee, gorilla?

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Sababu ya kwanza Luc, kocha wa Yanga aliwaita Yanga manyani na mkatulia kimyaaaa. Na mimi sio Yanga.

Sababu ya pili ni kwamba Haji Manara aliwaambia hamna akili yaani mbumbumbu kasoro wawili tu, mstaafu Kikwete na baba yake na bado kudhihirisha hayo kuwa ni kweli mkamkaribisha kwa mikono miwili. Mimi sio miongoni mwa wanayanga waliomkaribisha manara kwa hiyo sio mbumbumbu.

Sababu ya Tatu ni kwamba Metacha Mnata alichomoa mwiko nyuma yenu akawatilia dole la kati na bado mmemtafuta wenyewe na kumpokea. Hakika Metacha Mnata hakuthubutu na hawez kuthubutu kunifanyia mimi mambo hayo halafu nikampokea.

Ni hayo matatu mkuu. Asante
 
Ni bonge ya sherehe, unaweza sema diwali.../

Raha mustarehe, kijana wetu USM ALGER kapata kimwali.../

Sa unakosaje bwashehe, na jikoni wametenga wali.../

Ni mwendo wa makanzu kama mashehe, miss jangwani hapati kitu kwenye hii fainali.../
Miss Jangwani😂😂😂😂

Walitugomea kuwasindiza, kisa hawataki kula na majirani
 
Back
Top Bottom