United ya Ferguson
JF-Expert Member
- Oct 29, 2021
- 3,132
- 6,353
Wasenegal wanakera sana kitendo cha sadio mane kupata jeraha imekua kama wachezaji wote wamepata majeraha hii inaonesha ni jinsi gani Waafrica hatujiamini na hutanaimani na vitu tulivyonavyo.
Viongozi wamempeleka mchezaji had Kwa waganga wakienyeji lakini Ngoma hola Bayern Munich walishatoa toa Taarifa Kwa kina juu ya jeraha alilopata mane hawez kucheza kombe la Dunia lakini
viongozi wa Senegal wakapinga kabisa haiwezakani hawizekani huyu ndio mchezaji wetu tegemeo lazima acheze kombe la Dunia tutafanya Kila namna apone haya kapona Kuna kiongozi mmoja juzi wa Senegal mbona hatujumuona mane kweny msafara uliolekea Qatar kaishia kujingatangata tu na yey ndio alikua wa kwanza kutoa ahadi ya mane kucheza kombe la Dunia
Timu inawechezaji wakubwa wengi tu ambao wanaweza kuziba ilo pengo wapo kina ismail asar wapo kina dieng,wapo keita balde ,uko kweny viungo ndio usiseme wanakila aina ya mchezaji ila hawajiamini kabisa kitendo Cha kuumia mane ni kama tayari wametolea kweny michuano
Na mim nashindilia msumali kesho Netherlands hawezi Cheka na kima yoyote wale watoto kina Memphis depay,Steve bergwijn watawalaza na viatu watu Netherlands sio Zibwabwe
Timu mda wote mane mane mane mane Senegal ikiwa timu ya kwanza kutoka Africa kutolewa kweny michuano sitashangaa
Viongozi wamempeleka mchezaji had Kwa waganga wakienyeji lakini Ngoma hola Bayern Munich walishatoa toa Taarifa Kwa kina juu ya jeraha alilopata mane hawez kucheza kombe la Dunia lakini
viongozi wa Senegal wakapinga kabisa haiwezakani hawizekani huyu ndio mchezaji wetu tegemeo lazima acheze kombe la Dunia tutafanya Kila namna apone haya kapona Kuna kiongozi mmoja juzi wa Senegal mbona hatujumuona mane kweny msafara uliolekea Qatar kaishia kujingatangata tu na yey ndio alikua wa kwanza kutoa ahadi ya mane kucheza kombe la Dunia
Timu inawechezaji wakubwa wengi tu ambao wanaweza kuziba ilo pengo wapo kina ismail asar wapo kina dieng,wapo keita balde ,uko kweny viungo ndio usiseme wanakila aina ya mchezaji ila hawajiamini kabisa kitendo Cha kuumia mane ni kama tayari wametolea kweny michuano
Na mim nashindilia msumali kesho Netherlands hawezi Cheka na kima yoyote wale watoto kina Memphis depay,Steve bergwijn watawalaza na viatu watu Netherlands sio Zibwabwe
Timu mda wote mane mane mane mane Senegal ikiwa timu ya kwanza kutoka Africa kutolewa kweny michuano sitashangaa