mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,897
- 18,477
πππBahasha mkuuSimba hivi vichwa vyenu vinafanya kazi gani?Hamuamini kabsa katika kupambana?Mnawaza biashara tu?
Ushabiki wa namna hii huwa siupendi kabisa...inamaana England haiwezi kushinda kwa Senegal hadi inunue ushindi? Watu kama wewe sijui huwa mnaweka wapi akili hadi mnakuwa hamzitumii.Kufungwa siyo hoja, bali hoja ni kuwa sioni roho ya upambanaji tuliyoizoea! Sitashangaa kama watakuwa wamevuta kitu kidogo toka kwa uingereza!
Walipanda mtumbwi wa vibwengo mneso kama wote, hovyo hawakuwa na urgency na intensity yoyote, game mbovu Kwa Senegal ever and ever, extremely poor, wecheza kama wao ndio wanaongozaKufungwa siyo hoja, bali hoja ni kuwa sioni roho ya upambanaji tuliyoizoea! Sitashangaa kama watakuwa wamevuta kitu kidogo toka kwa uingereza!
Mimi ni mwananchi mwenzenu tuliozoea mchezo wa bahasha japo ihefu katuweza!Bila shaka mleta mada ni shabiki wa simba a.k.a Makolo.
Hao vilaza ndio huwa wanaamini kila anaeshinda amenunua mechi!
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Ile mechi kama ya Yanga na SBS niliacha kuangalia baada ya goli la pilihamu yote ya kuangalia mpira imekata! labda tusubiri morroco watatufuta machozi!
Inatia hasira,jitu limescale watu walivyopambana then linaropoka tuπ ππππBahasha mkuu
Madawa yanavuruga akili. Hivyo unatakiwa uwasamehe tu. Wakishinda wao, huwezi kuwasikia wakileta hizo porojo.Simba hivi vichwa vyenu vinafanya kazi gani?Hamuamini kabsa katika kupambana?Mnawaza biashara tu?
Timu zote za Africa zimetolewa, Morocco sio WaafricaHamu yote ya kuangalia mpira imekata! labda tusubiri Morroco watatufuta machozi!
Kufungwa siyo hoja, bali hoja ni kuwa sioni roho ya upambanaji tuliyoizoea! Sitashangaa kama watakuwa wamevuta kitu kidogo toka kwa uingereza!