Seneti linahitaji Kura 45 kumng'oa Gachagua ilhali Gachagua anahitaji Kura 23 kubakia madarakani, Jumla ya Wapiga Kura ni 67

Mkuu, mbona 45+23 haileti 67?
 
Ashaondolewa ulinzi hospital mkuu inaonekana Kura za kumuondoa zimetosha..
Fuatilia Ktn news.
Pamoja na mawakili wake kususia na kutoka nje kwa madai kwamba client wao yupo hosipitali kalazwa, kwa hiyo Seneti haiwezi kuhukumu wasubiri mpaka Juma mosi.

Uamuzi pamoja na maombi hayo yamekataliwa na RigG kaliwa kichwa hivyo hivyo hivyo.

Kapendekezwa Kindiki kujaza nafasi hiyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…