Seneti ya UDSM mliliangalia jambo hili wakati wa kupitisha sheria mpya?

Seneti ya UDSM mliliangalia jambo hili wakati wa kupitisha sheria mpya?

Malaria 2

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2023
Posts
6,846
Reaction score
10,288
Nimeona andiko moja linalohusu Senate Meeting Held on 6th May 2024. Hili linazungumzia Ada kwa wanafunzi wanaochelewa kumaliza masomo yao kwa wakati. Ada imepanda badala ya 50,000/month za mwanzo hadi malipo ya semester 1 kwa mwanafunzi. Andiko hilo limesainiwa na Boneventure Rutinwa.

JE, HIZI CHANGAMOTO HIVI SASA HAZIPO TENA?

1. Wasimamizi wa Tafiti

Moja ya changamoto iliopo UDSM na vyuo vikuu vingi vya Tanzania kipindi cha miaka nyuma nafasi ya supervisor .Mwanafunzi anamtumia supervisor kazi , anafatilia mpaka anachoka,kazi inakaa kwa supervisor miezi 2 haipitii huku muda unaenda na akiirudisha karibu kitabu kizima kimechorwa yaani comment (Kuanzia Title, Introduction, problem statement hadi Methodology). Mwanafunzi hapo anakata tamaa, anaanza kuchanganyikiwa

2. Ugumu Tafiti
UDMS na vyuo vya Tanzania tafiti wanazigumisha. Watu wanaona bora ukasome Ulaya ,America au China utamailiza mapema lkn sio UDSM au Tanzania. Licha ya wanafunzi wengi kujitahidi kuandika Tafiti, lakini walikuwa wanakwama either kuonekana tafiti hazina kiwango hasa wakatai wa kudefend specialy in Research gap and methodology. Hii nayo ni kikwazo lakini hao hao wakikimbilia vyuo vya nje ya nchi vyenye sifa kubwa duniani wanatoboa na Tafiti zao zinaonekana bab kubwa.

Zamani watu ukiomba UDSM katika ngazi ya MSC au Phd lazima watu wakuulize. Umefikiria mara 2? unataka ukazeeke huko? Hujaona chou cha kwenda? kama mfanyakazi wanakwambia unataka ukastaafu huko yaani kama huna roho ngumu unaweza kughairisha. Tafiti zenyewe mwisho wa siku zinaishia katika makabati ya wanafunzi.

JE, HAYA MAMBO YAMEONDOKA?
Kama hayo mambo yameondoka Hio itasaidia sana kuwafanya wanafunzi wasome kwa bidi. Kama haya mambo bado mlichopitisha katika SENET inaenda kuwaumiza zaidi wanafunzi na kuwakatisha tamaa kabisa

USHAURI: Kwa mshapitisha basi pitisheni sheria nyengine ya kuwabana supervisor kuwasimamia wanafunzi na kazi zao wazipitie ,Pia Chuo kiweke utaratibu yaani ratiba mzuri ya kudefend kwa wanafunzi hasa katika ngazi ya MSC PHD. hii Ratiba itawafanya supervisor kuwasimamia wanafunzi ipasavyo.

Wakati nachukua PHD yangu nchini Tanzania, tulikuwa wanafunzi karibu 10 department yetu, peke yangu ndio nilimaliza kwa wakati, kwa hivyo changamoto hizi nazifahamu vizuri sana.

Utaniluiza ilikuwaje ukafanikiwa?
 
Utaniluiza ilikuwaje ukafanikiwa?
Mimi ntakuuliza hukutoa rushwa
Wasimamizi wa Tafiti
Moja ya changamoto iliopo UDSM na vyuo vikuu vingi vya Tanzania kipindi cha miaka nyuma nafasi ya supervisor .Mwanafunzi anamtumia supervisor kazi , anafatilia mpaka anachoka,kazi inakaa kwa supervisor miezi 2 haipitii huku muda unaenda na akiirudisha karibu kitabu kizima kimechorwa yaani comment (Kuanzia Title, Introduction, problem statement hadi Methodology). Mwanafunzi hapo anakata tamaa, anaanza kuchanganyikiwa
Hapa umesema kweli. Tatizo kubwa kwa vyuo vya Tanzania ni rushwa na upendeleo. Lazima tujifunze kuwa waadilifu.
Zamani watu ukiomba UDSM katika ngazi ya MSC au Phd lazima watu wakuulize. Umefikiria mara 2? unataka ukazeeke huko?
Sio zamani tu. Hii ni hadi leo. Inataka kujishauri sana kuiunga pale; pamoja na kuweka vigezo vikubwa vya kuingilia.
 
Mimi ntakuuliza hukutoa rushwa
Hapa umesema kweli. Tatizo kubwa kwa vyuo vya Tanzania ni rushwa na upendeleo. Lazima tujifunze kuwa waadilifu.
Sio zamani tu. Hii ni hadi leo. Inataka kujishauri sana kuiunga pale; pamoja na kuweka vigezo vikubwa vya kuingilia.
Mimi ntakuuliza hukutoa rushwa? hahaha , hamna kitu hicho
 
Mimi ntakuuliza hukutoa rushwa? hahaha , hamna kitu hicho
Mkuu mahala pale, wakati huo, hadi miaka ya 2000 - sina hakika sasa -swala la rushwa lilitamalaki sana. Na ninaposema rushwa inaingia pesa, upendeleo wa kiujamaa (nepotism), upendeleo wa kimaeneo (regionalism), upendeleo wa kiimani na mengine. Yote hayo yanaingia kwenye rushwa. Waliopita pale wanayajua haya. Tuombe Mungu yawe yameondoka au yaondoke.
 
Nimeona andiko moja linalohusu Senate Meeting Held on 6th May 2024. Hili linazungumzia Ada kwa wanafunzi wanaochelewa kumaliza masomo yao kwa wakati. Ada imepanda badala ya 50,000/month za mwanzo hadi malipo ya semester 1 kwa mwanafunzi. Andiko hilo limesainiwa na Boneventure Rutinwa.

JE, HIZI CHANGAMOTO HIVI SASA HAZIPO TENA?

1. Wasimamizi wa Tafiti

Moja ya changamoto iliopo UDSM na vyuo vikuu vingi vya Tanzania kipindi cha miaka nyuma nafasi ya supervisor .Mwanafunzi anamtumia supervisor kazi , anafatilia mpaka anachoka,kazi inakaa kwa supervisor miezi 2 haipitii huku muda unaenda na akiirudisha karibu kitabu kizima kimechorwa yaani comment (Kuanzia Title, Introduction, problem statement hadi Methodology). Mwanafunzi hapo anakata tamaa, anaanza kuchanganyikiwa

2. Ugumu Tafiti
UDMS na vyuo vya Tanzania tafiti wanazigumisha. Watu wanaona bora ukasome Ulaya ,America au China utamailiza mapema lkn sio UDSM au Tanzania. Licha ya wanafunzi wengi kujitahidi kuandika Tafiti, lakini walikuwa wanakwama either kuonekana tafiti hazina kiwango hasa wakatai wa kudefend specialy in Research gap and methodology. Hii nayo ni kikwazo lakini hao hao wakikimbilia vyuo vya nje ya nchi vyenye sifa kubwa duniani wanatoboa na Tafiti zao zinaonekana bab kubwa.

Zamani watu ukiomba UDSM katika ngazi ya MSC au Phd lazima watu wakuulize. Umefikiria mara 2? unataka ukazeeke huko? Hujaona chou cha kwenda? kama mfanyakazi wanakwambia unataka ukastaafu huko yaani kama huna roho ngumu unaweza kughairisha. Tafiti zenyewe mwisho wa siku zinaishia katika makabati ya wanafunzi.

JE, HAYA MAMBO YAMEONDOKA?
Kama hayo mambo yameondoka Hio itasaidia sana kuwafanya wanafunzi wasome kwa bidi. Kama haya mambo bado mlichopitisha katika SENET inaenda kuwaumiza zaidi wanafunzi na kuwakatisha tamaa kabisa

USHAURI: Kwa mshapitisha basi pitisheni sheria nyengine ya kuwabana supervisor kuwasimamia wanafunzi na kazi zao wazipitie ,Pia Chuo kiweke utaratibu yaani ratiba mzuri ya kudefend kwa wanafunzi hasa katika ngazi ya MSC PHD. hii Ratiba itawafanya supervisor kuwasimamia wanafunzi ipasavyo.

Wakati nachukua PHD yangu nchini Tanzania, tulikuwa wanafunzi karibu 10 department yetu, peke yangu ndio nilimaliza kwa wakati, kwa hivyo changamoto hizi nazifahamu vizuri sana.

Utaniluiza ilikuwaje ukafanikiwa?
Wewe ni PhD holder kweli? Maandiko yako hapa JF mbona hayafanani na PhD holder au tuseme vinginevyo.
 
Mimi ntakuuliza hukutoa rushwa
Hapa umesema kweli. Tatizo kubwa kwa vyuo vya Tanzania ni rushwa na upendeleo. Lazima tujifunze kuwa waadilifu.
Sio zamani tu. Hii ni hadi leo. Inataka kujishauri sana kuiunga pale; pamoja na kuweka vigezo vikubwa vya kuingilia.
Mkuu nataka kujiunga MA Linguistics lakini nawaza sana maana hata mkeka wa promotion umetoka mtu wa Linguistics hamna aliyepanda kuna jamaa anafanya PhD Linguistics mwaka wa sita sasa.
 
Nimeona andiko moja linalohusu Senate Meeting Held on 6th May 2024. Hili linazungumzia Ada kwa wanafunzi wanaochelewa kumaliza masomo yao kwa wakati. Ada imepanda badala ya 50,000/month za mwanzo hadi malipo ya semester 1 kwa mwanafunzi. Andiko hilo limesainiwa na Boneventure Rutinwa.

JE, HIZI CHANGAMOTO HIVI SASA HAZIPO TENA?

1. Wasimamizi wa Tafiti

Moja ya changamoto iliopo UDSM na vyuo vikuu vingi vya Tanzania kipindi cha miaka nyuma nafasi ya supervisor .Mwanafunzi anamtumia supervisor kazi , anafatilia mpaka anachoka,kazi inakaa kwa supervisor miezi 2 haipitii huku muda unaenda na akiirudisha karibu kitabu kizima kimechorwa yaani comment (Kuanzia Title, Introduction, problem statement hadi Methodology). Mwanafunzi hapo anakata tamaa, anaanza kuchanganyikiwa

2. Ugumu Tafiti
UDMS na vyuo vya Tanzania tafiti wanazigumisha. Watu wanaona bora ukasome Ulaya ,America au China utamailiza mapema lkn sio UDSM au Tanzania. Licha ya wanafunzi wengi kujitahidi kuandika Tafiti, lakini walikuwa wanakwama either kuonekana tafiti hazina kiwango hasa wakatai wa kudefend specialy in Research gap and methodology. Hii nayo ni kikwazo lakini hao hao wakikimbilia vyuo vya nje ya nchi vyenye sifa kubwa duniani wanatoboa na Tafiti zao zinaonekana bab kubwa.

Zamani watu ukiomba UDSM katika ngazi ya MSC au Phd lazima watu wakuulize. Umefikiria mara 2? unataka ukazeeke huko? Hujaona chou cha kwenda? kama mfanyakazi wanakwambia unataka ukastaafu huko yaani kama huna roho ngumu unaweza kughairisha. Tafiti zenyewe mwisho wa siku zinaishia katika makabati ya wanafunzi.

JE, HAYA MAMBO YAMEONDOKA?
Kama hayo mambo yameondoka Hio itasaidia sana kuwafanya wanafunzi wasome kwa bidi. Kama haya mambo bado mlichopitisha katika SENET inaenda kuwaumiza zaidi wanafunzi na kuwakatisha tamaa kabisa

USHAURI: Kwa mshapitisha basi pitisheni sheria nyengine ya kuwabana supervisor kuwasimamia wanafunzi na kazi zao wazipitie ,Pia Chuo kiweke utaratibu yaani ratiba mzuri ya kudefend kwa wanafunzi hasa katika ngazi ya MSC PHD. hii Ratiba itawafanya supervisor kuwasimamia wanafunzi ipasavyo.

Wakati nachukua PHD yangu nchini Tanzania, tulikuwa wanafunzi karibu 10 department yetu, peke yangu ndio nilimaliza kwa wakati, kwa hivyo changamoto hizi nazifahamu vizuri sana.

Utaniluiza ilikuwaje ukafanikiwa?
Haya mambo yananifanya nisisome mwaka huu, nina watu wamenishauri nisiingie UDSM ni kugumu masupervisor wanasumbua, kuna watu wanajua wanaandika sana na wako vzr upstairs ila wanakwamishwa na supervisors. Mtu anatuma kazi inakaa miezi mitatu na majina yao ninayo, na wengine wanasumbua wanakubaliana na supervisor wakienda kwa discussant anataka afanye anachotaka yeye, ukinde kwenye study committee unabdilishwa tena sasa wenyewe kwa wenyewe hawajielewi wanavuruga watu alaf ukichelewa kumaliza kwa wakati una lipa ada mpya. Nimepata nafasi ila siendi UDSM bora niende Ardhi.

Lakini pia nimeshauriwa na mfanyakazi wa hapo akisema usisome hapa UDSM utachizika.

Kwa hiyo hao UDSM wanajikuta wakina nani hv kwa mfano? Sitaki tena kusoma PHD hapo, bora Ardhi. Na kama uko hapo unasoma PHD muda ukipitiliza usikubali kama ni uzembe wa supervisor au wasimamizi, mil 4 ni nyingi sanaa kwa kweli, msikubali kudhulumiwa kabisaaa.

UDSm sio sehemu nzr ya kusoma PHD hata ujitahidi vp utasumbuliwa tuu na ukichelewa kumaliza kupitia hiyo waraka wao utalipa ada tena full hadi ukonde ubaki mfupa.
 
Nimeona andiko moja linalohusu Senate Meeting Held on 6th May 2024. Hili linazungumzia Ada kwa wanafunzi wanaochelewa kumaliza masomo yao kwa wakati. Ada imepanda badala ya 50,000/month za mwanzo hadi malipo ya semester 1 kwa mwanafunzi. Andiko hilo limesainiwa na Boneventure Rutinwa.

JE, HIZI CHANGAMOTO HIVI SASA HAZIPO TENA?

1. Wasimamizi wa Tafiti

Moja ya changamoto iliopo UDSM na vyuo vikuu vingi vya Tanzania kipindi cha miaka nyuma nafasi ya supervisor .Mwanafunzi anamtumia supervisor kazi , anafatilia mpaka anachoka,kazi inakaa kwa supervisor miezi 2 haipitii huku muda unaenda na akiirudisha karibu kitabu kizima kimechorwa yaani comment (Kuanzia Title, Introduction, problem statement hadi Methodology). Mwanafunzi hapo anakata tamaa, anaanza kuchanganyikiwa

2. Ugumu Tafiti
UDMS na vyuo vya Tanzania tafiti wanazigumisha. Watu wanaona bora ukasome Ulaya ,America au China utamailiza mapema lkn sio UDSM au Tanzania. Licha ya wanafunzi wengi kujitahidi kuandika Tafiti, lakini walikuwa wanakwama either kuonekana tafiti hazina kiwango hasa wakatai wa kudefend specialy in Research gap and methodology. Hii nayo ni kikwazo lakini hao hao wakikimbilia vyuo vya nje ya nchi vyenye sifa kubwa duniani wanatoboa na Tafiti zao zinaonekana bab kubwa.

Zamani watu ukiomba UDSM katika ngazi ya MSC au Phd lazima watu wakuulize. Umefikiria mara 2? unataka ukazeeke huko? Hujaona chou cha kwenda? kama mfanyakazi wanakwambia unataka ukastaafu huko yaani kama huna roho ngumu unaweza kughairisha. Tafiti zenyewe mwisho wa siku zinaishia katika makabati ya wanafunzi.

JE, HAYA MAMBO YAMEONDOKA?
Kama hayo mambo yameondoka Hio itasaidia sana kuwafanya wanafunzi wasome kwa bidi. Kama haya mambo bado mlichopitisha katika SENET inaenda kuwaumiza zaidi wanafunzi na kuwakatisha tamaa kabisa

USHAURI: Kwa mshapitisha basi pitisheni sheria nyengine ya kuwabana supervisor kuwasimamia wanafunzi na kazi zao wazipitie ,Pia Chuo kiweke utaratibu yaani ratiba mzuri ya kudefend kwa wanafunzi hasa katika ngazi ya MSC PHD. hii Ratiba itawafanya supervisor kuwasimamia wanafunzi ipasavyo.

Wakati nachukua PHD yangu nchini Tanzania, tulikuwa wanafunzi karibu 10 department yetu, peke yangu ndio nilimaliza kwa wakati, kwa hivyo changamoto hizi nazifahamu vizuri sana.

Utaniluiza ilikuwaje ukafanikiwa?
Hiyo seneti hawajali ndio haohao ukiwatumia kazi wanakaa nazo mpaka miezi minne, hadi utakoma na kujuta kwenda UDSM, wakucheleweshe wao alaf ulipe ada full sasa si ujinga? Bora kusoma Ardhi yaan ma'supervisor na study committee wako fair so ni userious wako, ukichelewa kumaliza ni uzembe wako tofauti na UDSM nina watu wanasota na wako vzr kweli hapo wamepewa likizo makazini so imagine wacheleweshewe kumaliza alafu umwambie mtu alipe ada tena, hiyo senate waliangalia vigezo gani jaman eenh
 
Nimeona andiko moja linalohusu Senate Meeting Held on 6th May 2024. Hili linazungumzia Ada kwa wanafunzi wanaochelewa kumaliza masomo yao kwa wakati. Ada imepanda badala ya 50,000/month za mwanzo hadi malipo ya semester 1 kwa mwanafunzi. Andiko hilo limesainiwa na Boneventure Rutinwa.

JE, HIZI CHANGAMOTO HIVI SASA HAZIPO TENA?

1. Wasimamizi wa Tafiti

Moja ya changamoto iliopo UDSM na vyuo vikuu vingi vya Tanzania kipindi cha miaka nyuma nafasi ya supervisor .Mwanafunzi anamtumia supervisor kazi , anafatilia mpaka anachoka,kazi inakaa kwa supervisor miezi 2 haipitii huku muda unaenda na akiirudisha karibu kitabu kizima kimechorwa yaani comment (Kuanzia Title, Introduction, problem statement hadi Methodology). Mwanafunzi hapo anakata tamaa, anaanza kuchanganyikiwa

2. Ugumu Tafiti
UDMS na vyuo vya Tanzania tafiti wanazigumisha. Watu wanaona bora ukasome Ulaya ,America au China utamailiza mapema lkn sio UDSM au Tanzania. Licha ya wanafunzi wengi kujitahidi kuandika Tafiti, lakini walikuwa wanakwama either kuonekana tafiti hazina kiwango hasa wakatai wa kudefend specialy in Research gap and methodology. Hii nayo ni kikwazo lakini hao hao wakikimbilia vyuo vya nje ya nchi vyenye sifa kubwa duniani wanatoboa na Tafiti zao zinaonekana bab kubwa.

Zamani watu ukiomba UDSM katika ngazi ya MSC au Phd lazima watu wakuulize. Umefikiria mara 2? unataka ukazeeke huko? Hujaona chou cha kwenda? kama mfanyakazi wanakwambia unataka ukastaafu huko yaani kama huna roho ngumu unaweza kughairisha. Tafiti zenyewe mwisho wa siku zinaishia katika makabati ya wanafunzi.

JE, HAYA MAMBO YAMEONDOKA?
Kama hayo mambo yameondoka Hio itasaidia sana kuwafanya wanafunzi wasome kwa bidi. Kama haya mambo bado mlichopitisha katika SENET inaenda kuwaumiza zaidi wanafunzi na kuwakatisha tamaa kabisa

USHAURI: Kwa mshapitisha basi pitisheni sheria nyengine ya kuwabana supervisor kuwasimamia wanafunzi na kazi zao wazipitie ,Pia Chuo kiweke utaratibu yaani ratiba mzuri ya kudefend kwa wanafunzi hasa katika ngazi ya MSC PHD. hii Ratiba itawafanya supervisor kuwasimamia wanafunzi ipasavyo.

Wakati nachukua PHD yangu nchini Tanzania, tulikuwa wanafunzi karibu 10 department yetu, peke yangu ndio nilimaliza kwa wakati, kwa hivyo changamoto hizi nazifahamu vizuri sana.

Utaniluiza ilikuwaje ukafanikiwa?
3. Mifumo ya Internet Haisomani
Wamejaribu kuweka mifumo ya Internet ili walahu ipunguze paper work na gharama za kuzunguka na makaratasi kuwatafuta supervisors. Lakini mifumo iliyopo bado Haisomani. Utaambiwa download hiki, upload hiki, pitisha hicho kule wale wakasign. Ukifika huko kule wanakwambia rudi kule utumie mfumo ku-upload hizo documents hawapokei hardcopies. Unafanya jitihada za scanning ukimaliza "system is down" siku Hadi wiki! Ikirejea kuna vitu kibao vimebadilika wanavijua moderators tu! Yaani ilmradi usumbufu tu!

Fungakazi ni masupervisor wengi hawapewi au hawazingatii orientation kutumia mifumo iliyopo! Ukituma kazi kwenye mfumo mwingine bado anataka umtumie hardcopy au utumie personal emails! NI AIBU KWA KWELI!

Kingine nahisi kuna ka spirit ka uvivu na kutokujali kanakotokana na uzembe wa viongozi kwa wale wanaowasimamia. Hakuna ufuatiliaji wala kuwajibishana! Watu wapo busy kusaka miradi na maokoto.

Ingependeza utaratibu wa penalty ya ucheleweshaji uwekwe wazi kuwa utamhusu kwanza supervisor kabla ya mwanafunzi.
Systems zikisomana zitaonesha chanzo cha ucheleweshaji. Kama ni supervisor ahusike kulipa. Kama ni mwanafunzi alipie.

Chuo kikuu lazima kiwe flawless. Yaani mapungufu yadhibitiwe yakitokea yawe ni nje ya uwezo wa kila mmoja. Tofauti na sasa ambako chuoni Tanzania ni sehemu ya kukwamishana matarajio yakiwa eti ufanye tofauti ukifika huko makazani na kwenye mihangaiko ya maisha!

Elimu kwa sasa ni biashara ya huduma. Chuo ni mfanyabiashara. Mwanafunzi ni mteja!
UDSM wanakosa customer care nzuri kwa wateja wao!
 
Haya mambo yananifanya nisisome mwaka huu, nina watu wamenishauri nisiingie UDSM ni kugumu masupervisor wanasumbua, kuna watu wanajua wanaandika sana na wako vzr upstairs ila wanakwamishwa na supervisors. Mtu anatuma kazi inakaa miezi mitatu na majina yao ninayo, na wengine wanasumbua wanakubaliana na supervisor wakienda kwa discussant anataka afanye anachotaka yeye, ukinde kwenye study committee unabdilishwa tena sasa wenyewe kwa wenyewe hawajielewi wanavuruga watu alaf ukichelewa kumaliza kwa wakati una lipa ada mpya. Nimepata nafasi ila siendi UDSM bora niende Ardhi.

Lakini pia nimeshauriwa na mfanyakazi wa hapo akisema usisome hapa UDSM utachizika.

Kwa hiyo hao UDSM wanajikuta wakina nani hv kwa mfano? Sitaki tena kusoma PHD hapo, bora Ardhi. Na kama uko hapo unasoma PHD muda ukipitiliza usikubali kama ni uzembe wa supervisor au wasimamizi, mil 4 ni nyingi sanaa kwa kweli, msikubali kudhulumiwa kabisaaa.

UDSm sio sehemu nzr ya kusoma PHD hata ujitahidi vp utasumbuliwa tuu na ukichelewa kumaliza kupitia hiyo waraka wao utalipa ada tena full hadi ukonde ubaki mfupa.
Nakushauri: Na huko Ardhi University usifanye PHD by thesis.
 
Nimeona andiko moja linalohusu Senate Meeting Held on 6th May 2024. Hili linazungumzia Ada kwa wanafunzi wanaochelewa kumaliza masomo yao kwa wakati. Ada imepanda badala ya 50,000/month za mwanzo hadi malipo ya semester 1 kwa mwanafunzi. Andiko hilo limesainiwa na Boneventure Rutinwa.

JE, HIZI CHANGAMOTO HIVI SASA HAZIPO TENA?

1. Wasimamizi wa Tafiti

Moja ya changamoto iliopo UDSM na vyuo vikuu vingi vya Tanzania kipindi cha miaka nyuma nafasi ya supervisor .Mwanafunzi anamtumia supervisor kazi , anafatilia mpaka anachoka,kazi inakaa kwa supervisor miezi 2 haipitii huku muda unaenda na akiirudisha karibu kitabu kizima kimechorwa yaani comment (Kuanzia Title, Introduction, problem statement hadi Methodology). Mwanafunzi hapo anakata tamaa, anaanza kuchanganyikiwa

2. Ugumu Tafiti
UDMS na vyuo vya Tanzania tafiti wanazigumisha. Watu wanaona bora ukasome Ulaya ,America au China utamailiza mapema lkn sio UDSM au Tanzania. Licha ya wanafunzi wengi kujitahidi kuandika Tafiti, lakini walikuwa wanakwama either kuonekana tafiti hazina kiwango hasa wakatai wa kudefend specialy in Research gap and methodology. Hii nayo ni kikwazo lakini hao hao wakikimbilia vyuo vya nje ya nchi vyenye sifa kubwa duniani wanatoboa na Tafiti zao zinaonekana bab kubwa.

Zamani watu ukiomba UDSM katika ngazi ya MSC au Phd lazima watu wakuulize. Umefikiria mara 2? unataka ukazeeke huko? Hujaona chou cha kwenda? kama mfanyakazi wanakwambia unataka ukastaafu huko yaani kama huna roho ngumu unaweza kughairisha. Tafiti zenyewe mwisho wa siku zinaishia katika makabati ya wanafunzi.

JE, HAYA MAMBO YAMEONDOKA?
Kama hayo mambo yameondoka Hio itasaidia sana kuwafanya wanafunzi wasome kwa bidi. Kama haya mambo bado mlichopitisha katika SENET inaenda kuwaumiza zaidi wanafunzi na kuwakatisha tamaa kabisa

USHAURI: Kwa mshapitisha basi pitisheni sheria nyengine ya kuwabana supervisor kuwasimamia wanafunzi na kazi zao wazipitie ,Pia Chuo kiweke utaratibu yaani ratiba mzuri ya kudefend kwa wanafunzi hasa katika ngazi ya MSC PHD. hii Ratiba itawafanya supervisor kuwasimamia wanafunzi ipasavyo.

Wakati nachukua PHD yangu nchini Tanzania, tulikuwa wanafunzi karibu 10 department yetu, peke yangu ndio nilimaliza kwa wakati, kwa hivyo changamoto hizi nazifahamu vizuri sana.

Utaniluiza ilikuwaje ukafanikiwa?
Kweli PHD siku hizi zimeshuka thamani yaani hata wewe unayo?
 
Usiende UDSM bora ukasomee UDOM mara mia
Asante bro.Nimejiunga Open niendelee na kibarua change huku nasoma sitaki presha brother. Ingekuwa SAUT MA Linguistics wanaitoa kwenye Center yao Dar ningefanyia kwao maana naona Wana kibao waliosoma huko wameajirika kwenye vyuo vingi tu vya serikali.
 
Back
Top Bottom